Taifa lilishwa uongo juu ya Lowasa (simaanishi kwamba Lowasa ni msafi) kumbe tuhuma yoyote utakayotaka kumtuhumu Lowasa basi ujuwe JK anahusika, na ndio maana Lowasa anasema yeye na JK hawakukutana barabarani. Hii ni kauli nzito sema Watanzania ni wavivu wa kudadisi.
Leo Nimeamini kwamba Viongozi Wengi wa CCM ni Wajinga na Mbaya Zaidi Wameamua Kupambana na Lowasa Mwerevu.
How Comes Viongozi wa CCM (Wakiongozwa na Nape) Wanamwogopa Hivi Lowasa? Kama Lowasa ni Mchafu hivi iweje Viongozi wa CCM ( Sitta, Chiligati na Nape) Wanatumia Njia za Majungu, Fitna, Njia zisizokuwa za Moja kwa Moja Kupambana na Lowasa?
1. Juzi tumeshuhudia CCM wakifanyia Mabadiliko katiba yao wakiweka Vihunzi Vingi lakini kwa Mjanja ukiangalia Lengo ni kupunguza Nguvu za Lowasa kuelekea 2015, Hivi Lowasa asipogombea Urais 2015 kwa sababu yeyote ile ( Aaamue, Afe au hata Augue) CCM watarudi kurekebisha Katiba yao tena? Kama Wanaamini kwamba Lowasa ni Mchafu kiasi hicho kwa nini Wasimkamate au kumfukuza Uanachama Badala yake wanatumia Njia za Kumvizia/ Uoga huu una Nini? AU WAMEGUNDUA ALIYE MCHAFU SI LOWASA?
2. Tumeona Kura za maoni Arumeru Mashariki Jinsi Sioi Sumari alivyotakiwa Kutoswa Kisa eti ana Unasaba na Loawas. Hivi Chama Chenye Jeshi, Polisi, Mahakama, Takukuru Kimefikia hatua ya Kuogopa Kivuli cha Lowasa kwa Namna hii Kweli? Walianza akina Nape na Kina Chatanda kupiga Majungu ya Utata wa Uraia wa Sioi lengo lao likiwa Kumtosa Mkwe wa Laigwanan wa Kimasai. CC nayo ikaingia Mkenge ila ikatumia Busara kidogo ya Kurudia Uchaguzi huku wakiamini kwamba Sioi angeshindwa. Mpaka nimefikia sasa na mimi naanza kuamini kwamba Tatizo la Lowasa si Ufisadi bali Urais 2015 na kuna Watu wameshagundua "Werevu wa Mtu huyu"
Nape, Chiligati, Mwigulu Onesheni Uanaume wenu Acheni kutumia Indirect Method kupambana na Lowasa kama hamna uhakika na Tuhuma zake Mwacheni.
Kuna Mpuuzi Mmoja leo ameleta Mada juu ya Lowasa Kuumbuliwa na Takukuru Arumeru, Mada ilichangiwa na watu wengi sana wakiamini Utunzi wa Mpuuzi yule.
Wajanja walishagundua kwamba Akina Nape walishagundua Nguvu ya Lowasa wakaanza kuleta Propaganda zao ili baadae Sioi akishinda ionekane ni Nguvu za Pesa.
Hivi Kweli Lowasa atume SMS kuagiza Mtu akatoe rushwa? Lowasa ambaye CCM ya akina Sita inatafuta Namna ya kumtoa CCM lakini inas
Mimi huwa nawaambia chama (CCM) kimevamia na vijana, tuliposema chama kiongozwe na vijana wakadhani kila kijana anaweza kuongoza. Chadema kinapenda vijana washike madaraka lakini si kila kijana anayeweza kuachiwa madaraka makubwa yanayoweza kuyumbisha chama, hawa tunaowaona kina Zitto, Mnyika, Mdee, Lema nk si kuwa wamekuja kwa bahati la wameandaliwa na isitoshe wana utaratibu wao wa kuwafunda, ndio maana kama wakienda ndivyo sivyo kuna wakati mwingine wazee huingilia kati.Lowasa amekaa anawasanifu tu sasa hawana Namna Lazima wakamwangukie Laigwanan ili Wakanyage Arumeru. Nilikuwa simpendi sana Lowasa ila Njia zinazotumia na Akina Nape kupambana na Lowasa zinanifanya Nifikirie Mara ya Pili juu ya Dhamira ya wanaopambana naye
Unaposema 'sisi' una maana gani? Ninyi akina nani?
Mod niliwahi kusema ondoa message zote za aina hii. Hazina jipya la kujenga akili maana zimejaa kampeni za Lowasa. Sijui Lowasa ana mapungufu yapi mpaka atetewe kiasi hiki na kajikundi ka watu wapya ndani ya jf?
Enzi hizi za maisha magumu watu tunakodishwa kwa kazi za ajbu sana. Hebu niombeni mimi niwasaidie hiyo kazi kwa siku moja, bure! Hii timu haijui wala kufahamu mzigo wanaoubeba.
Wakuu katiba mpya inakuja na umri wa Lowasa wenu tunauacha nje ya cutoff line.
Albedo, asante!.
Asubuhi nilisema hivi...
Note, Arumeri is done!, tujipange kwa 2015, tuhakikishe CCM, inamsimamisha EL, sio tuu ili rais atoke Kaskazini, bali pia tupange ukombozi wa pili wa ukweli!.
Pasco yuko kazini wewe muache, anautamani Usalva Rweyemamu,.......Mkuu kote umeenda sawa, ila hiyo ya kumsimamisha lowassa sijui ni kwa manufaa ya nani... ya CCM, ya Taifa au ya LOwassa... kwasababu kama nimemsoma vizuri Albedo (muzee ya chui), hajafungamana na upande wowote
Mbona tayari yule kanjanja mwenye makengeza anaitwa pasco ameshaharisha uharo unanuka!Hii thread ni nzuri sana ila kuna VICHWA MAJI/TOPE wataiharibu.
Unaposema 'sisi' una maana gani? Ninyi akina nani?
Mod niliwahi kusema ondoa message zote za aina hii. Hazina jipya la kujenga akili maana zimejaa kampeni za Lowasa. Sijui Lowasa ana mapungufu yapi mpaka atetewe kiasi hiki na kajikundi ka watu wapya ndani ya jf?
Enzi hizi za maisha magumu watu tunakodishwa kwa kazi za ajbu sana. Hebu niombeni mimi niwasaidie hiyo kazi kwa siku moja, bure! Hii timu haijui wala kufahamu mzigo wanaoubeba.
Wakuu katiba mpya inakuja na umri wa Lowasa wenu tunauacha nje ya cutoff line.
hata hivyo wanaweza kumtosa vilevile, kwani hicho kikao cha mwisho ndicho kinamaamuzi. Kwa CCM kura nyingi siyo tija bali huyo anauzika? watatafuta zengwe lingine wewe subiria tu. Je wajua sioi bado hajaukana uraia wa kenya mpaka sasa? kigezo cha uraia kitamwondoa sioi hata kama ameshinda kwa kura nyingi tusubiri tu.
Albedo, asante!.
Asubuhi nilisema hivi...
Note, Arumeri is done!, tujipange kwa 2015, tuhakikishe CCM, inamsimamisha EL, sio tuu ili rais atoke Kaskazini, bali pia tupange ukombozi wa pili wa ukweli!.
kupambana na lowasa inahitaji kizaz kingine sio hiki kilichojaa makapi vichwani cha akina nape clligati.
Very true, ni abadan kumsikia akiongea na jamii. Na aongeapo ni zaidi ya Rais ahutubiapo mwisho wa mwezi. Macho na masikio hugeukia kwa kujadili alichokisema Lowassa. Let's think twicekweli jamaa ni mwanasiasa.na anamalengo kweli. huyu ndugu ni tembo haogipi kelele za chura. na akitoa kauli lazima nchi izizime.na haongei ovyoovyo.
Lowassa ni mwanasiasa mnyenyekevu kiliko wote Tanzania, majungu anayopigwa angekuwa anapigwa Sitta tungesikia vilio kila mahali!
Aisee kumbe albedo ni X-Ilborian???tu wengi humu.....Albedo.... Kamanda umeongea ukweli sana, na kizuri ni kwamba hujaweka ushabiki hivyo habari yako haina karaha kuisoma. kweli wewe u mtoto wa loning'o na chui ulilikamata kweli!!!
Hawaaminiani, lakini wanalala kitanda kimoja..... hakuna usingizi hapo!!! Hiyo ndio CCM ya Leo
Mkuu Heshima kwako,ila hapo kwenye Bold, napuliza kipengMimi huwa nawaambia chama (CCM) kimevamia na vijana, tuliposema chama kiongozwe na vijana wakadhani kila kijana anaweza kuongoza. Chadema kinapenda vijana washike madaraka lakini si kila kijana anayeweza kuachiwa madaraka makubwa yanayoweza kuyumbisha chama, hawa tunaowaona kina Zitto, Mnyika, Mdee, Lema nk si kuwa wamekuja kwa bahati la wameandaliwa na isitoshe wana utaratibu wao wa kuwafunda, ndio maana kama wakienda ndivyo sivyo kuna wakati mwingine wazee huingilia kati.
Kwa CCM ni tofauti kidogo, vijana hawaandaliwi wanakuwa appointed kwa misingi ya kujuana, fadhila za wazazi wao, anatoka kundi gani nk. hata kama hana uwezo. Nape, Mwigulu na Chilligati ni vijana wa CCM sidhani kama waliandaliwa kushika madaraka ya chama kubwa kama CCM. Kila kijana ana wazee wake au kundi lake, inakuwa vigumu kwa wazee wa CCM kuwaonya kwa kuhofia upande fulani. Utakuta kamati zisizo na mwisho zinaundwa sikwamba wanapenda ila wanataka kupoteza muda watu wasahau. Ndio maana mara kwa mara kunakuwa na matamushi ya kutatanisha na kutambiana kutoka kwa vijana UVCCM, Nape, Mwigulu nk kama tunayoyaona sasa.