CCM dhaifu vs CHADEMA ma-opportunists

Wakati naandika sikutegemea kueleweka na wote!!! Kwa kuwa nilijua wako wenye mawani za rangi fulani fulani hivi na wapo wale ambao hawana...

So, again you are absolutely right!

Lakini pia inawezekana uliyovaa wewe inaleta reflection ndo maana hawakutambui kila wakitazama mara mara wanaona blue mara njano na kijana mara nyeupe depending na rangi inayoelekea kwako so na wewe unatakiwa kuivua yako uwe neutral au uivae yenye rangi inayoonekana wazi rangi yako ni ipi....

By the way hata kama CCM watakuwa upinzani nakufanya haya wenzao wanayofanya ndiyo majority wanataka ili kusiwe tena na ubabe, dharau, comfortability katika kuwahudumia jamii that means kila chama kitapenda kikubalike na wanaowaongoza ili kuendelea kuwa na uhalali wa kuongoza.
 
CHADEMA wameyafanya yote hayo kwa kiwango kikubwa na cha kuridhisha. Tatizo ninaloliona ni kwamba watu wanaoikosoa CHADEMA katika mbinu zake, akiwemo Rais wetu, ni watu ambao hawajui kazi ya vyama vya upinzani kwa sababu hawajawahi kufikiria kuwa chama cha upinzani. Ndio maana vyama vyote vikongwe viliposhindwa kwenye uchaguzi vilijifia kwa sababu nguzo yao pekee ilikuwa ni dola na sio watu. Ndivyo ilivyotokea kwa KANU, UNIP, Malawi Congress Party na ndivyo itakavyotokea kwa CCM. Siku CCM ikishindwa uchaguzi itakufa ndani ya miezi kwa sababu kinashikiliwa na dola pekee.

Don't misunderstand us. Hakuna mtu anayesema kwamba CHADEMA ni perfect. We are not and that is why we are working very hard to be. For example, one area that we will need to improve soon is the question of balancing militarism and activism vs idealism. At the moment, understandably, there seems to be too much militarism and activism and too little or empty idealism. This is dangerous because militarism and activism have a tendency to fade way so easily because they tend to be associated with personality cults, which they are not sustainable. But then who wants to listen to idealism under the current circumstances in this country? Idealism works optimally only where basic life conditions exist. It cannot exist where people cannot even afford a day's meal, where basic services that make people think and intellectualize are almost non existent. In these circumstances, CHADEMA have to be pragmatic and the route they have chosen to pursue is understandably befitting our current social-political-economic circumstances. It is therefore utterly wrong and ill-thought to label them 'opportunists'.

What you say is quite true ila as an individual I would not like to see CCM dying kwani CHADEMA itageuka CCM kwa matendo baadaye kama ndiyo itakuwa chma tawala.....Labda ndiyo maana nchi hizo nyingi bado hazijaonyesha kwa udhahiri welfare increament kwa commoners. Nililisema hili kabla CCM waangalie succession plan yao..kwani wakati CHADEMA ina recruit educated and patriotic cadres CCM ina ambulia opportunist na dola kama mlinzi wa leagacy yao.

Bali CHADEMA nao ili iwe baadaye successiful lazima wakazanie hao cadres kuwa na core values find a way ambapo ofenders wanakuwa heavyly punished...msiogope ku copy model ya baba wa taifa katika ku impert core values kwa wanachama wake He is after all the symbol of our nation so for us all a role model and a public good! Nadhani ndipo hapo idealism pia inapoangukia so its good that mmelitambua hilo.

CCM waone institution kuwa na maisha marefu kuliko individuals waache selfishness na wawape nafasi capable people kusahihisha makosa yao...We still would like to have it see how CHADEMA will take this country to the next level of development na wao watabakia kukumbukwa kutusaidia katika kuleta umoja wa kitaifa lakini kushindwa kuliletea taifa letu maendeleo kwa kasi inayotakiwa...
 
  • Thanks
Reactions: Ame
wana jamii mie naona tutajadiliana sana hili suala kama cdm nayo inafaa au haifai, mtazamo wangu ni kurekebisha katiba yetu kuwabana wanasiasa kuchezea nchi yetu na rasilimali zake.
tukiwa na katiba ambayo itawawajibisha moja kwa moja wanasiasa then we have somewhere to start lakini hivi hivi ni propaganda za majukwaani na kuimaliza nchi kila siku.
 
Anachosema kasheshe ni sahihi kabisa.

Ni ushauri ambao CHADEMA wanastahili kupewa katika muda huu.

CHADEMA wamedhihirika wakitoa toa ahadi bila kuwa na mkakati wowote wa kuzitekeleza, na hilo limewagharimu, linawagharimu na litawagharimu.

Baada ya uchaguzi mkuu, CHADEMA wallisema kuwa wameibiwa kura na kwamba wana mkakati wa kuhakikisha haki yao haiendi bure. Dr. Slaa akaahidi kutoa vithibiti vya dhuruma aliyofanyiwa na usalama wa taifa. HAKUFANYA HIVYO MPAKA LEO.

Baada ya kutangaza kuibiwa kura CHADEMA walitangaza kutokumtambua Rais, jambo lililofuiatiwa na michezo ya kuigiza bungeni na kukacha shughuli za kitaifa kama siku ya Uhuru. CHADEMA WAMESHINDWA KUSIMAMIA MAAMUZI YAO HAYO.

Arusha, CHADEMA wamewaahidi wananchi kuwa kamwe hawataruhusu meya wa CCM aongoze Halmashauri hiyo. Wakaandaa maandamano uchwara ambayo yameishia kwa viongozi wa CHADEMA kuwa watuhumiwa. Meya anaendelea na kazi yake. CHADEMA KWA MARA NYINGINE IMESHINDWA KUTEKELEZA AHADI.

CHADEMA walisema wanaweza kushirikiana na CUF bungeni. Hivi sasa wanakuja na alibi za kitoto kabisa. Hii ni kinyume na kauli ya awali. HAWAJATENDA WALICHOSEMA.

Sasa hivi CHADEMA wametoa ultimatum ya siku tisa kwa serikali. Siku tisa zitaisha na CHADEMA hawatafanya lolote.

Mnyika aliahidi kuwasaidia wananchi wa Kimara wasibomolewe nyumba zao. Wafanyabiashara wa mitumba manzese wasiondolewe. Jana wafanyabiashara wameondolewa, nyumba Kimara zinabomolewa ili kutanua barabara. Mnyika ameshindwa kudeliver his promise.

Kuongea ni rahisi kuliko kutenda.

Kitila analazimika kuwa mkweli angalau kiasi. Yeye mwenyewe ndio amekuwa "mtaalam" wa kuubaka uchaguzi wa akina mama ili watu fulani wazawadiwe Ubunge wa viti maalum. Usawa unaaongelewa na CHADEMA majukwaani uko wapi? Demokrasia ndani ya CHADEMA iko wapi? Kama demokrasia ndani ya chama haiheshimiwi, je mkishika dola ndio mtaanza kuiheshimu?!!!

Kiujumla CHADEMA wamekuwa ni watu wa maneno maneno tu. Hakuna vitendo. Wako kama shabiki wa Manchester anayemlaumu Rooney kwa kutokucheza vizuri; hii siyo kumaanisha kuwa yeye (shabiki) akiingizwa uwanjani atacheza vizuri zaidi ya Rooney.

Kasheshe amekuwa mkarimu kwa CHADEMA. Mnapaswa kumshukuru.
 
Kuhusu swala la kuwa opportunists halina ubishi kabisa.

Viongozi wengi wa CHADEMA akiwemo Kitila na Dr. Slaa, wamehamia CHADEMA baada ya kukosa uongozi ndani ya CCM. Sasa huko kama sio kuwa opportunists ni nini? Kwa lugha nyingine hawa ni watu dhaifu walioshindwa kupata walichokitaka hivyo basi wakaamua kuchukua opportunity pekee iliyopo ambayo inapatikana ndani ya CHADEMA.
 
Kuhusu CHADEMA kukosa idealism ukweli ni kwamba chama ambacho viongozi wake wamekimbilia huko baada ya kukosa nafasi ya chama kingine (CCM) chenye strong idealism hakiwezi kujenga idealism. Kusingizia njaa na vitu vingine ni kuukataa ukweli.

Lakini napenda kuwatoa hofu wachangiaji wanaodhani kuwa kuna siku CHADEMA pamoja na udhaifu wake mkubwa wa kiuongozi, kifikra na mipango watashika dola. Siku hiyo haitatokea. CHADEMA siyo chama chenye maslahi kwa watu wote. Waacheni waendelee na matembezi yao, wala msihofu. Dola haiwezi kuongozwa na mfanyabiashara wa Casino!
 
Zemarcopolo kaingia, huuuu.... ngoja nivue nguo zote nibaki na kichupi maana ni SAUNA imeingia JF.

Kasheshe,

Wanasema, mkata ndefu harudi porini na "Always, aim higher......"

Kama Chadema wanasema mfuko utashuka hadi sh.5,000/- ila kwa miaka 5/10 ya mwanzo ukashuka hadi 10,000Tsh, si itakuwa tayari ni dalili nzuri?

Tatizo la Kikwete kwa mfano tuseme UMEME. Angelikuja na kusema "anaweka mitambo aghali sana ya kuzalisha umeme mwingi sana ambao tutauza nchi za jirani na ikibidi tule nyasi", nina imani watu wangekula nyasi kwa kuamini kuwa umeme sasa utakuwa historia.

Nilipata contact za jamaa wakitaka kujenga mitambo ya kutengeneza vyakula hapa Tanzania. Ilibidi mahela niyaambie "Nguruwe pita, kwa sasa sina mkuki....." Utawaambiaje watu waje mjenge mitambo ya vyakula wakati umeme hamna, maji hamna, etc etc? Na tatizo si tu kuwa linapunguwa, la khasa, kila siku linaongezeka. Sasa mgawo wa masaa kwa wiki?????

Hakuna anayetaka ikiingia Chadema madarakani basi wawepo na wao kama CCM. Yatakuwa yaleyale. Ndiyo maana ndoto zangu ni kuona vyama viwili au vitatu tu Tanzania. Huyu akiboronda, wanamtupa pembeni. PM au Rais akiboronda, wanamlima. Huyu akiiba, basi anakamatwa na kutupwa jela........ Kwa ufupi ni kuwa ukiingia madarakani, basi ujuwe unakalia KITI MOTO.
 
Mpaka sasa hili ndilo nililiong'amua kama ningeambiwa nani wakum-approve kuongoza Tanzania leo ningesema neither one!

Kuna mengi CHADEMA wanayafanya leo bila kutambua wakiwa madarakani watafanyiwa the same... kwa watu wanaongalia mbali kuna mengi wasingefanya kama wanavyofanya leo... Lakini ndio hivyo tena tabia ya opportunist haangalii mbali sana.

Bado namkumbuka Mh. Mkapa alivyofanya kampeni zake 1995 kwa kuhakikisha haahidi asali alafu a-delive maziwa... yeye alihakikisha hai-raise expectation sana... na eventually akawa winner... seen as over delivered, kumbe ni kwa sababu hakuahidi makuu... JK yeye ameahidi nchi ya ahadi na anadeliver kawaida... regardless what hawezi kumfurahisha yeyote sio kwa sababu kwamba kashindwa bali kwa kuwa ameahidi makuu, hili ndio kosa CHADEMA inalorudia na inalofanya leo.

Muigeni Mkapa... think BIG, think STRATEGIC... na angalieni mbali msijione kama chama pinzani wakati wote... wakati mwingine jioneni kama chama tawala... otherwise itakula kwenu big time!

Manabii wa uongo mtawajua tu kwa pembe zao (na mikia pia iliyochomoza kwenye kanzu walizovaa) zilizochomoza kwenye kofia walizovaa. Toka lini akina 'Tambwe Hiza' wakaitakia mema Chadema?
 
Wagombea wote including Huyo Malaika wenu Dr. Slaa

Kasheshe, Kasheshe.. kwa hiyo statement peke yake inanibidi nikutoe katika kundi la watu wenye hoja ya kuweza kujadiliwa hapa JF na kukuweka panapokufaa - kwa wapuuzi.
walikuwa wanaongelea namna ya kutumia kidogo kilichopo na sio namna ya kutafuta au kumfanya Mtanzania aweze kulipia shule ya mtoto wake mwenyewe, ajenge nyumba yake mwenyewe, alipie afya yake mwenyewe.

Binadamu kama huwezi kupanga namna ya kukitumia hicho kidogo ulicho nacho kwa ufanisi na kikakuletea maendeleo, hayo mengi si utayatapanya tu kama CCM, tazama wanavyoifilisi nchi kama wenda wazimu ! Ndiyo maana lazima kuna wakati hata ikibidi ujinyime lakini ukiwa na lengo la kufanikisha mambo yako.

In short ahadi nyingi zilikuwa za namna ya kumpa ndugu yako samaki na sio nyavu ya kuvulia au ndoana akavue mwenyewe samaki kwa idadi/kiasi atakachoweza....

Kama sijakosea ndicho wanachokihubiri Chadema tofauti na CCM ambayo imeamua kuwekeza kwa kikundi kidogo cha mafisadi wanaonenepa siku hadi siku huku walio wengi wakilia njaa. Nyavu na ndoana wanazo wao tu na kweli wanavuna kwa idadi/kiasi wanachoweza kama vile hakuna wenyewe !

Naomba Mungu anipe uwahi nione wanasiasa wengine au chama kingine lakini sio hivi ninavyovifahamu.....

Yafaa umwombe Mungu akupe uhai ushuhudie demokrasia ya kweli chini ya katiba inayotoa fursa sawa kwa vyama kushindana. Katika hali kama hiyo chama tawala kisipotimiza yale waliyohubiri kinawekwa kando na kingine kinashika madaraka. Ni hapo tu unaweza kudai vyama fulani havifai kwa sababu historia ipo lakini hapa ni chama kimoja tu kinapimwa kwa utendaji wake na historia yake.
 
Kuhusu CHADEMA kukosa idealism ukweli ni kwamba chama ambacho viongozi wake wamekimbilia huko baada ya kukosa nafasi ya chama kingine (CCM) chenye strong idealism hakiwezi kujenga idealism. Kusingizia njaa na vitu vingine ni kuukataa ukweli.

Lakini napenda kuwatoa hofu wachangiaji wanaodhani kuwa kuna siku CHADEMA pamoja na udhaifu wake mkubwa wa kiuongozi, kifikra na mipango watashika dola. Siku hiyo haitatokea. CHADEMA siyo chama chenye maslahi kwa watu wote. Waacheni waendelee na matembezi yao, wala msihofu. Dola haiwezi kuongozwa na mfanyabiashara wa Casino!
You really make sense!.....I do have bad feelings about these people,they are phony and don't have a strategy.We need a coach not referees!!
 
Kuhusu CHADEMA kukosa idealism ukweli ni kwamba chama ambacho viongozi wake wamekimbilia huko baada ya kukosa nafasi ya chama kingine (CCM) chenye strong idealism hakiwezi kujenga idealism. Kusingizia njaa na vitu vingine ni kuukataa ukweli.

Lakini napenda kuwatoa hofu wachangiaji wanaodhani kuwa kuna siku CHADEMA pamoja na udhaifu wake mkubwa wa kiuongozi, kifikra na mipango watashika dola. Siku hiyo haitatokea. CHADEMA siyo chama chenye maslahi kwa watu wote. Waacheni waendelee na matembezi yao, wala msihofu. Dola haiwezi kuongozwa na mfanyabiashara wa Casino!
You really make sense!.....I do have bad feelings about these people,they are phony and don't have a strategy.We need a coach not referees!!

Vipofu wawili wanaongozana na kujipongeza kwa kufuata harufu bila kujua kuwa upofu wao umesababishwa na kukaa gizani kwa muda wa miaka hamsini. Ghafla mwanga huo na kama walivyo jamii za gizani kama mafisi na mapanya, taharuki yao kubwa kwao ni kujificha na namna gani watakavyoweza kubaki gizani. Si ajabu bila kutafakari mazuri ya mwanga, kumsikia moja akitamka bila haya, "over our dead bodies, kamwe hatutaruhusu mwanga !"

Tatizo ni kuwa mwanga na giza haziivi chungu kimoja, mojawapo lazima akimbie na kutokomea anapoingia mwingine na kwa bahati nzuri mwanga daima hushinda. Tanzania iko gizani na hivyo imegeuka uwanja wa mafisi, mapanya, mbu na chawa, wote wanapigana vikumbo ndani ya banda la chama tawala, CCM. Mara Mbowe huyo mlangoni na taa mkononi ngoja mwenye banda aanze kubwabwaja ovyo kwa hofu eti mwanga utaleta machafuko ! Na bado, mtamulikwa wote kizazi cha giza nyie, ole wenu.
 
Mpaka sasa hili ndilo nililiong'amua kama ningeambiwa nani wakum-approve kuongoza Tanzania leo ningesema neither one!

Kuna mengi CHADEMA wanayafanya leo bila kutambua wakiwa madarakani watafanyiwa the same... kwa watu wanaongalia mbali kuna mengi wasingefanya kama wanavyofanya leo... Lakini ndio hivyo tena tabia ya opportunist haangalii mbali sana.

Bado namkumbuka Mh. Mkapa alivyofanya kampeni zake 1995 kwa kuhakikisha haahidi asali alafu a-delive maziwa... yeye alihakikisha hai-raise expectation sana... na eventually akawa winner... seen as over delivered, kumbe ni kwa sababu hakuahidi makuu... JK yeye ameahidi nchi ya ahadi na anadeliver kawaida... regardless what hawezi kumfurahisha yeyote sio kwa sababu kwamba kashindwa bali kwa kuwa ameahidi makuu, hili ndio kosa CHADEMA inalorudia na inalofanya leo.

Muigeni Mkapa... think BIG, think STRATEGIC... na angalieni mbali msijione kama chama pinzani wakati wote... wakati mwingine jioneni kama chama tawala... otherwise itakula kwenu big time!
Mkapa si mtu wa kuigwa. Granted aliiacha Tanzania katika hali bora kuliko hii aliyotuweka Mkwere lakini kwa ufisadi wake ndio matunda tunayovuna hivi leo. Mkapa asingekuwa fisadi Mkwere katu asingeingia ikulu. Kwa hiyo mema yote aliyoyafanya Mkapa yanafutwa na kumweka Mkwere mamlakani.
 
Vipofu wawili wanaongozana na kujipongeza kwa kufuata harufu bila kujua kuwa upofu wao umesababishwa na kukaa gizani kwa muda wa miaka hamsini. Ghafla mwanga huo na kama walivyo jamii za gizani kama mafisi na mapanya, taharuki yao kubwa kwao ni kujificha na namna gani watakavyoweza kubaki gizani. Si ajabu bila kutafakari mazuri ya mwanga, kumsikia moja akitamka bila haya, "over our dead bodies, kamwe hatutaruhusu mwanga !"

Tatizo ni kuwa mwanga na giza haziivi chungu kimoja, mojawapo lazima akimbie na kutokomea anapoingia mwingine na kwa bahati nzuri mwanga daima hushinda. Tanzania iko gizani na hivyo imegeuka uwanja wa mafisi, mapanya, mbu na chawa, wote wanapigana vikumbo ndani ya banda la chama tawala, CCM. Mara Mbowe huyo mlangoni na taa mkononi ngoja mwenye banda aanze kubwabwaja ovyo kwa hofu eti mwanga utaleta machafuko ! Na bado, mtamulikwa wote kizazi cha giza nyie, ole wenu.

Kama huyo unamwona anaangaza, kama kwako huyo ni mkombozi basi bila shaka mwenzetu ulikuwa kwenye zaidi ya giza, pole!!
 
Every approach is subject to criticism. Hivyo, mimi binafsi sioni shida ya Kasheshe na wengine kukosoa mipango, approach na agenda za wakosoaji wa serikali.
 
Anachosema kasheshe ni sahihi kabisa.

Ni ushauri ambao CHADEMA wanastahili kupewa katika muda huu.

CHADEMA wamedhihirika wakitoa toa ahadi bila kuwa na mkakati wowote wa kuzitekeleza, na hilo limewagharimu, linawagharimu na litawagharimu.

Baada ya uchaguzi mkuu, CHADEMA wallisema kuwa wameibiwa kura na kwamba wana mkakati wa kuhakikisha haki yao haiendi bure. Dr. Slaa akaahidi kutoa vithibiti vya dhuruma aliyofanyiwa na usalama wa taifa. HAKUFANYA HIVYO MPAKA LEO.

Baada ya kutangaza kuibiwa kura CHADEMA walitangaza kutokumtambua Rais, jambo lililofuiatiwa na michezo ya kuigiza bungeni na kukacha shughuli za kitaifa kama siku ya Uhuru. CHADEMA WAMESHINDWA KUSIMAMIA MAAMUZI YAO HAYO.

Arusha, CHADEMA wamewaahidi wananchi kuwa kamwe hawataruhusu meya wa CCM aongoze Halmashauri hiyo. Wakaandaa maandamano uchwara ambayo yameishia kwa viongozi wa CHADEMA kuwa watuhumiwa. Meya anaendelea na kazi yake. CHADEMA KWA MARA NYINGINE IMESHINDWA KUTEKELEZA AHADI.

CHADEMA walisema wanaweza kushirikiana na CUF bungeni. Hivi sasa wanakuja na alibi za kitoto kabisa. Hii ni kinyume na kauli ya awali. HAWAJATENDA WALICHOSEMA.

Sasa hivi CHADEMA wametoa ultimatum ya siku tisa kwa serikali. Siku tisa zitaisha na CHADEMA hawatafanya lolote.

Mnyika aliahidi kuwasaidia wananchi wa Kimara wasibomolewe nyumba zao. Wafanyabiashara wa mitumba manzese wasiondolewe. Jana wafanyabiashara wameondolewa, nyumba Kimara zinabomolewa ili kutanua barabara. Mnyika ameshindwa kudeliver his promise.

Kuongea ni rahisi kuliko kutenda.

Kitila analazimika kuwa mkweli angalau kiasi. Yeye mwenyewe ndio amekuwa "mtaalam" wa kuubaka uchaguzi wa akina mama ili watu fulani wazawadiwe Ubunge wa viti maalum. Usawa unaaongelewa na CHADEMA majukwaani uko wapi? Demokrasia ndani ya CHADEMA iko wapi? Kama demokrasia ndani ya chama haiheshimiwi, je mkishika dola ndio mtaanza kuiheshimu?!!!

Kiujumla CHADEMA wamekuwa ni watu wa maneno maneno tu. Hakuna vitendo. Wako kama shabiki wa Manchester anayemlaumu Rooney kwa kutokucheza vizuri; hii siyo kumaanisha kuwa yeye (shabiki) akiingizwa uwanjani atacheza vizuri zaidi ya Rooney.

Kasheshe amekuwa mkarimu kwa CHADEMA. Mnapaswa kumshukuru.

1. Kuna mambo ambayo CHADEMA wangeweza kuyafanya vizuri zaidi kama wangeshika dola, na hapo ingekuwa sahihi kuwawajibisha kwa kauli na ahadi zao. unapoongelea jinsi CHADEMA walivyoshindwa kutekeleza ahadi zao sasa hivi miezi 3 baada ya uchaguzi, nadhani ni more relevant kuzungumzia huyo aliyeahidi mambo lukuki na akashika dola, amefanya nini? maana CCM wameahidi several times more than CHADEMA.

2. unapozungumzia "michezo ya kuigiza bungeni" - walkout ya CHADEMA kule bungeni, nadhani wewe ni mtoto katika mambo ya siasa. kulikuwa na pressure kubwa sana kwa JK na CCM, kutoka ndani na nje. kwa nchi inayotegemea sana misaada kama yetu, picha ile mbele ya mabalozi ilikuwa ni pigo kubwa sana. inaweza kuwa imechangia JK kuufyata kuhusu katiba, japo bado anahitaji pressure katika operationalisation. kama CHADEMA wangechukua msimamo mkali wasimtambue JK asilani, bila shaka ungewalaumu kwamba wanafanya kitu ambacho sio practical, kwa sababu kwa katiba yetu huwezi kumfanya kitu chochote rais aliyetangazwa na tume ya uchaguzi.

3. inabidi uwe na mtazamo mpana zaidi: CCM wametumia rafu kubadili kanuni za bunge, kwa kushirikiana na wapinzani wengine, ili kuikaba koo CHADEMA. na kwa kweli kule bungeni CHADEMA inakabwa koo kwelikweli. lakini CCM wanasahamu kwamba ukiipiga pressure kubwa sana CHADEMA, itarudi kwa wananchi, kama ilivyokuwa bunge lililopita, ambapo agenda ya EPA ilihamia majukwaani, with very devastating effect kwa CCM. sasa hivi CCM wanazungumzia kwamba CHADEMA wanakuwa opportunists, kutumia matatizo kujipatia umaarufu! na wanapendekeza CHADEMA ishirikiane na CCM kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya wananchi! kama CCM wanataka kuongea na CHADEMA, lazima wajenge mazingira ya kuongea kwanza.

4. unaonekana wewe ni CHADEMA-HATER, kwa hiyo points hizi nimeandika tu kwa faida ya jamvi, lakini wewe hazikusaidii kwa sababu umefunga jicho moja ili usione kwa macho yote mawili
 
Chadema ni ma opportunist kweli kweli. Wanahaha kutafuta chanzo cha kuzuwa ili uongozi uliopo madarakani uonekane haufai.

Wakati wote Chadema wamekuwa si wabunifu wa kutatua matatizo bali kulalamika na kuanzisha maandamano kulazimisha makosa yasiyokuwepo au yanayotatulika bila hata ya kutoa jasho.

Ushauri aliotoa mtoa mada ni mzuri sana.

Kwa kuongezea tu, Chadema wangekuwa effective zaidi wangekuwa wanatatuwa matatizo badili ya kulalamika na kuhamasisha watu walalamike.

Hivi, kama wameona mtu ana-fisadi, kinawashinda nini kuchukuwa hatua za kisheria na badala yake kuanzisha maandamano?

Kama kweli Chadema ni viongozi wazuri, wasingekuwa wanazidisha matatizo badala ya kutatuwa matatizo, wangeanza kutatuwa matatizo na kuonyesha mfano na si kutuzidishia matatizo.

Mfano, kama serikali inatoa fedha za kununulia wabunge mashangingi, chadema wangekuwa wa kwanza kuchukuwa fedha hizo na kununuwa magari ya wagonjwa (ambulance). Hapo tungeona kweli, hawa jamaa wapo zaidi katika kutumikia wananchi.

Chadema wangekuwa wa kwanza kutoa posho na ruzuku wanayopatiwa chama chao badala ya kuzitumia kwa kuandaa maandamano na misafara ya maandamano ya kuhamasisha matatizo. Wangezitumia kwa kuanzisha mashule, mazahanati ya mfano, na halafu waseme "hivi ndivyo shule zinapaswa ziwe, hivi ndivyo zahanati zinapaswa ziwe".

Ikiwa hawana mfano mwema hata mmoja, jee, na wao si ndio hao hao?

Kwani viongozi wa Chadema walitokea wapi kabla ya kuwa Chadema? Si huko huko? Walifanya nini cha maana huko?

Wacha CCM ituongoze mpaka tutapoona chama chenye kutenda na si kulalama na kuhamasisha watu kulalama kama ilivyo kwa Chadema.
 
Ushauri aliotoa mtoa mada ni mzuri sana.

Kwa kuongezea tu, Chadema wangekuwa effective zaidi wangekuwa wanatatuwa matatizo badili ya kulalamika na kuhamasisha watu walalamike.

Hivi, kama wameona mtu ana-fisadi, kinawashinda nini kuchukuwa hatua za kisheria na badala yake kuanzisha maandamano?

Kama kweli Chadema ni viongozi wazuri, wasingekuwa wanazidisha matatizo badala ya kutatuwa matatizo, wangeanza kutatuwa matatizo na kuonyesha mfano na si kutuzidishia matatizo.

Hivi wengine mmezaliwa duniani gani hadi msiweze kuelewa majukumu ya chama cha upinzani kama Chadema. Chadema si chama tawala na hivyo si watekelezaji ila wanaweza tu kuishauri serikali na pale ushauri wao unapopuuzwa, hawana jingine bali kuishitaki serikali kwa mwajiri wake, mwananchi. Hivyo Chadema wanatimiza wajibu wao kwa kutoa elimu kwa wananchi wajue chanzo cha matatizo yao yanasababishwa na nini au nani. Sera zilizoididimiza na kuitumbukiza taifa katika hali hii ya ulofa na ya kusikitisha ni za chama tawala, CCM, period na asitafutwe mchawi mwingine !
 
I'm not confinced kwamba kila mkosoaji mzuri ni mtendaji mzuri... read between lines guys.

Kuna mengine yatang'amuliwa na wale walio kataa kuvaa miwani ya Kijana au ya bluu tu... depending miwani gani umevaa ndivyo utakavyoiona Tanzania! And I can assure you none will be wrong in his/her perspective b'se everything depend anatoa msimamo akiwa amevaa miwani gani?

Best Wishes... Wana JF.

Kasheshe hili la miwani liko spot on,lakini kubwa zaidi ni la waTZ wenyewe kuogopa kufikiri, kuogopa kujaribu na kuogopa kubadilika,na kwasababu pande zote zinava mawani ningeshauri wote wapimwe macho tena :wink2:
 
I think Zito kabwe does not agree with mbowe/slaa but he wont publicly admit it,he is fighting from within,he sees the reality,how tough it is to rule one of the poorest countries in the world,but he wont admit it.
Mbowe on the other hand,is the same as Mtei/Makani...Conservative Party,IMF....you know what i mean?They will always benefit the bussiness community and their main competitors are asians.I remember Mbowe/Mengi wanted to privatise Yanga,making it a company that members will own 51%.They told members to chase asians(gulamali,dewji).The results were disastrous because those ideas sounded good but Yanga members are just normal Tanzanians loving soccer and they dont mind if those asians were phony or not,they want to have a respectable club,thank god they welcomed back the asians and went back to win CECAFA cup in Kampala.
My point is,our failing economy is a function of so many things,global and local.At the same time, theres corruption at every level ,we cant blame anybody.Cops,teachers,diwanis,MPs,bankworkers,clerks....president,opposition....everybody man!
We need to stop this.If people here in Jamii forums really want to discuss how we gonna change the game,we need to stop being corrupt,at all levels.
Mbowe is a bussinessman,like mengi and his chairmanship has been challenged by Chacha(rip) and Zito.The later doesnt think mbowe is taking CDM in the direction that most members and enthusiasts wants it to go.But they wont admit.
Just recent denials of two politicians by wanaCDM when they tried to sell the guy who lost to wasira,and the MAYOR of the rock city.,shows that Slaa/Mbowe are not really in touch with people,they just got caught by surprise!..they should have known not to sell them especially in a rally for change!
Anyways,I think CDM has a lot of work ahead otherwise people will soon fail to differentiate! And a whole new party from jamii,made up of young,educated and dedicated Tanzanians will start to encroatch local governments,bunge and ultimately ikulu.This party will be comprised of people from different backgrounds,ethnicityand political ideology and we are going to compromise for the good of our and the next generations.THIS PARTY WONT HAVE A NAME....it's just 'Independents".
We want constitutional reforms that will allow independent candidates!!
 
Back
Top Bottom