mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Guninita asimpige marufuku Sitta (kama anayo mamlaka) amwache aendelee kumwaga mchele tuzidi kujua mengi. Hivi ile tuhuma ya Kilumbe Ng'enda kwamba Idd Azzan anahusika na biashara ya madawa ya kulevya Polisi wamefikia wapi na uchunguzi