CCM Chama Pekee Cha Siasa Chenye Dira na Mwelekeo

Of course kina dira na mwelekeo.

Dira na muelekeo kukumbatia ufisadi.
 
KWA MACHACHE HAYO NAOMBA MUONGEZE MENGINE MAZURI NA PIA MABAYA KAMA YAPO.

CCM imetoa baadhi ya watu kimaisha. Wengine wametoka kutoka "watoto wa wakulima" mpaka kuwa na account za mabilioni ndani na nje ya nchi. Siyo hatua ndogo hiyo.
 
CCM imetoa baadhi ya watu kimaisha. Wengine wametoka kutoka "watoto wa wakulima" mpaka kuwa na account za mabilioni ndani na nje ya nchi. Siyo hatua ndogo hiyo.

nimekugongea senksi hapo ingawa sijakunyaka vizuri MBADO
 
Mwenye hii thread ana itikadi ya kikomunisti !atembelee deep vijijini ajionee mwenyewe hali halisi ya watanzania.
 
Asante kwa hili:

Badilisha ubadilishi wa maneno yangu kabla sijakunyea mvua ya makaa ya mawe na kutaka damu yako, kabla sijakuua na kukutundika mtini, halafu nikaifungia maiti yako booby trap za mabomu yatakayowalipua ndugu zako watakaokuja kuuchukua mwili wako.

Heshimu watu, wenzako walikuja na vitusi vya rejareja asubuhi leo wamekimbia, gari kubwa hili, usitake kuja kulaumiana hapa.

Wengine hapa rooting for CCM ni uchuro mkubwa sana.

Badilisha haraka sana kabla sijakumezelea mbali mpaka usahaulike!
 
Badilisha ubadilishi wa maneno yangu kabla sijakunyea mvua ya makaa ya mawe na kutaka damu yako, kabla sijakuua na kukutundika mtini, halafu nikaifungia maiti yako booby trap za mabomu yatakayowalipua ndugu zako watakaokuja kuuchukua mwili wako.

Heshimu watu, wenzako walikuja na vitusi vya rejareja asubuhi leo wamekimbia, gari kubwa hili, usitake kuja kulaumiana hapa.

Wengine hapa rooting for CCM ni uchuro mkubwa sana.

Badilisha haraka sana kabla sijakumezelea mbali mpaka usahaulike!


mwaga mboga nimwage ugali:

JIKE ZIMA linajishebedua;

nitakukamua KAMASI wewe.
 
Wewe Visible,
Yule demu wako asharejea au ndio ametokomea kimoja na huyo jamaa mwenye Landcruiser?

Kwa njia hii unafanya vyema kujipunguzia stress. Unajua tena maisha ya kuachwa!
Mwehu wewe! wenzako wanajadili mambo ya msingi wewe unaongea habari za mademu? Hili siyo jukwaa lake!
 
Visible Senior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png

green.png

green_right.png
Join Date: Tue Dec 2009
Posts: 116
Thanks: 21
Thanked 7 Times in 7 Posts
 
heshima mbele wana jf:

Kama kawaida najua wengi mtalipinga hili:

Ccm ni chama cha siasa ambacho kik madarakani tangu uhuru:

Tulipotoka ni mbali na hadi tulipo lazima tukishukuru chama hiki kwa mambo yafuatayo:

1.amani na utulivu nchini:bila ccm na viongozi wake bora nadhani amani ya nchi hii isingefika hapa.

-tanzania ni taifa lenye amani duniani:
-naisifu ccm kwa hili; ukiangalia mataifa mbali mbali duniani vita na majanga mbali mabali unaweza gundua kuwa kweli tanzania pamoja na umaskini wetu bado amani ni kitu muhimu sana na ni fahari yetu.
-hongera ccm na tunashukuru kwa hili.

2.kukua kwa maendeleo:hapa tunazungumzia elimu,mawasiliano,kilimo etc
-elimu hakuna ubishi toka kuwa na chuo kikuu kimoja hadi sasa tunashukuru ccm na serikali yake bila wao nadhani tungechechemea kwa hili.
-mawasiliano:barabara na telecom kwa hili serikali imejitahidi sana na bado inaendelea kutengeneza barbara safi na za kisasa.
-kilimo kimeboreshwa na serikali bado inazidi kuhimiza kilimo kama njia ya kujikwamua kiuchumi.

3.kukua kwa siasa na democracy:ccm ingekuwa si chama kizuri nadhani sasa hivi tz ingekuwa kama kwa kina castro fidel cuba:yani kusingekkuwa na vyama vingi na tena vinajiexpress kama wapendavyo bial tabuu yoyote.
-katiba na utawala wa sheria pia ni kitu cha kujivunia.

Kwa mlinganisho:bado wapinzani hawawezi kuongoza nchii hii labda baada ya miaka mia hivi kwa wastani:

Sababu kubwa ikiwa ni :uchanga wa vyama na utitiri wake.
-kukosekana kwa viongozi imara wenye msimamo na maamuzi mazito:
-ulafi wa madaraka
-wabunge waliochaguliwa kushindwa kabisa kusaidia wananchi ktk maendeleo na kuwakumbuka pindi za chaguzi.

Kwa machache hayo naomba muongeze mengine mazuri na pia mabaya kama yapo.

hongera rais wetu hongera ccm:jk tunakuitaji tena miaka mitano ijayo:

you must be dreaming!!!!!!!!!!!!!!
 
Mwehu wewe! wenzako wanajadili mambo ya msingi wewe unaongea habari za mademu? Hili siyo jukwaa lake!

Join Date: Wed Dec 2009
Posts: 11
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0

Hata Makamba aliwaita wehu, sembuse wewe. Mambo ya maana umeyaona kwa kujiunga leo na kuiona post hii. Mbona kuna mengi humu yenye maana kuliko hili ulilojia humu.

Mna kazi kubwa!
 
.

Kwa mlinganisho:Bado WAPINZANI hawawezi kuongoza nchii hii labda baada ya miaka mia hivi kwa wastani:

sababu kubwa ikiwa ni :uchanga wa vyama na utitiri wake.
-kukosekana kwa viongozi imara wenye msimamo na maamuzi mazito:
-ulafi wa madaraka
-wabunge waliochaguliwa kushindwa kabisa kusaidia wananchi ktk maendeleo na kuwakumbuka pindi za chaguzi.

KWA MACHACHE HAYO NAOMBA MUONGEZE MENGINE MAZURI NA PIA MABAYA KAMA YAPO.

sasa hapo unalinganisha nini na nini??

yaani yote hayo uliiyoyataja kuhusu upinzani ndio yanawika ndani ya ccm, tofauti ni hapo nilipo bold baasii!! na ndio kinachowapa wapinzani advantage over ccm, angalau wenyewe bado wachanga kuliko ccm ambako wanazeekea madarakani na viongozi magoi goi wasiokuwa na msimamo kwenye maamuzi yoyote yale, walafi wa madaraka,

hiyo sehemu uliyozungumzia wabunge..yaani hao ni typical wabunge wa ccm 100% umesahau tu kuongezea tabia yao ya kulala bungeni..
 
Maendeleo ya elimu yapi unayoongelea, kama ni haya ya 50% ya wanafunzi waliomaliza darasa la saba mwaka huu kufeli sawa, na tusubiri shule za kata zitakapoanza kutoa wanafunzi wa kidato cha nne.
Hahaha! wapinzani hawana viongozi wenye uthubutu wa kutoa maamuzi magumu, tuambie ni kiongozi yupi CCM amekwisha toa maamuzi magumu, JK? PINDA au SHENI? labda utasema MSEKWA sioni mimi sioni! kwa CCM hii ya waimba taarabu kama Makamba na Sophia Simba sina cha kuipongeza!
 
kinachosikitisha sana sana ni kwamba huu mtizamo wa kukumbatia sisiemu na kuamini ndicho chama kinacholeta "amani" ndio walionao wananchi wengi kule vijijini na ambao ndio majority ya wa tz, hata kama toka wazaliwe hawajawahi kuona endeleo lolote kijijini kwao

watanzania tumelala usingizi mzito mpaka inatisha...tuna mwagiwa maji baridi, tunatandikwa fimbo lakini bado tunauchapa tu usingizi...usingizi gani huu? au ndio taifa limeshakufa??

ndio maana thread kama hizi inabidi tuzichangie tuu, who knows inawezekena kuna mtu ataamshwa usingizini ili akawashtue na wengine...:(:confused::mad:
 
Back
Top Bottom