PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Wana jamvi nawasalim wota na pia naomba kutoa kilicho kifuani mwangu.
nina maswali machache sana ila ninahitaji majibu ya kina kutoka kwa kiongozi yeyote wa ccm atakayeona inamhusu.
nikianza na uongozi wa juu kabisa wa chama na serikali,na wengine walio husika DR,KIKWETE,LOWASA,PINDA,MAKAMBA,BATILDA BURIANI,MUKAMA NA MZEE WA MATRILIONI.wote hawa wanalifahamu hili tene kwe kina.
Napenda kujua zile pesa zaidi ya bilioni mbili na nusu mlizochota kwenye akaunti ya JWTZ hapa arusha kwaajili ya kuwasaidia kwenye kampeni za uchaguzi mkuu hapa arusha mjini na arumeru kwa maruhemu sumari na hìi ilisababisha vijana kuishi kwa shida na kukosa mahitaji muhimu vipi waheshimiwa mlisha zirudisha??
Tunafahamu kwa kina kuwa swala hali ndilo lililo myima raha DR,KIKWETE na kumfanya myonge alipouzuria mahafali hapa MONDULO mwaka jana mwishoni.baada ya waheshimiwa kutishia kumwaga ugali,tafazali tunahitaji majibu.
LOWASA:
Mwarusha wa arumeru uliye lowea umasaini,tunajua kuwa wewe na UHURU KENYATA ni marafiki wa kibiashara wa muda mrefu lakini ulicho tufanyia hapa ARUSHA na TANZANIA kwa ujumla hakistahili.
Tunafahamu kuwa wewe na huyo mshirika wako ndio mlio filisi kiwanda cha matairi cha (jenero tairi)hapa arusha na mkakimbilia kenye ambapo mlifungua kiwanda kingine cha matairi cha ( YANA ) unaweza kutu eleza sababu ya kutufanyia unyama huo sisi WATANZANIA wenzako??
Bado hamkuishia hapo mkachukua kiwanda cha maziwa cha hapa urusha na pumpatia UHURU KENYATA kwa ahadi ya kukifufua lakini ikawa kinyume chake, kwani tunajua mashine zilizokuwa ndani mliziondoa na kuzipeleka tusiko kujua,na kugeuza kiwanda kuwa ghala la kuhifazia maziwa kutoka kiwanda cha ( BRUKSAIDI )ya kenya na kinamilikiwa na huyohuyo UHURU KWENYATA pamoja na wewe LOWASA.
Je? Ikitokea siku moja tukakupa hi nchi si utatuuzia ndani????!!
Kwetu kuna msemo unasema ( ukiona mbwa anaiba nyumbani ujue anakaribia kufa)
asanteni nawasilisha
nina maswali machache sana ila ninahitaji majibu ya kina kutoka kwa kiongozi yeyote wa ccm atakayeona inamhusu.
nikianza na uongozi wa juu kabisa wa chama na serikali,na wengine walio husika DR,KIKWETE,LOWASA,PINDA,MAKAMBA,BATILDA BURIANI,MUKAMA NA MZEE WA MATRILIONI.wote hawa wanalifahamu hili tene kwe kina.
Napenda kujua zile pesa zaidi ya bilioni mbili na nusu mlizochota kwenye akaunti ya JWTZ hapa arusha kwaajili ya kuwasaidia kwenye kampeni za uchaguzi mkuu hapa arusha mjini na arumeru kwa maruhemu sumari na hìi ilisababisha vijana kuishi kwa shida na kukosa mahitaji muhimu vipi waheshimiwa mlisha zirudisha??
Tunafahamu kwa kina kuwa swala hali ndilo lililo myima raha DR,KIKWETE na kumfanya myonge alipouzuria mahafali hapa MONDULO mwaka jana mwishoni.baada ya waheshimiwa kutishia kumwaga ugali,tafazali tunahitaji majibu.
LOWASA:
Mwarusha wa arumeru uliye lowea umasaini,tunajua kuwa wewe na UHURU KENYATA ni marafiki wa kibiashara wa muda mrefu lakini ulicho tufanyia hapa ARUSHA na TANZANIA kwa ujumla hakistahili.
Tunafahamu kuwa wewe na huyo mshirika wako ndio mlio filisi kiwanda cha matairi cha (jenero tairi)hapa arusha na mkakimbilia kenye ambapo mlifungua kiwanda kingine cha matairi cha ( YANA ) unaweza kutu eleza sababu ya kutufanyia unyama huo sisi WATANZANIA wenzako??
Bado hamkuishia hapo mkachukua kiwanda cha maziwa cha hapa urusha na pumpatia UHURU KENYATA kwa ahadi ya kukifufua lakini ikawa kinyume chake, kwani tunajua mashine zilizokuwa ndani mliziondoa na kuzipeleka tusiko kujua,na kugeuza kiwanda kuwa ghala la kuhifazia maziwa kutoka kiwanda cha ( BRUKSAIDI )ya kenya na kinamilikiwa na huyohuyo UHURU KWENYATA pamoja na wewe LOWASA.
Je? Ikitokea siku moja tukakupa hi nchi si utatuuzia ndani????!!
Kwetu kuna msemo unasema ( ukiona mbwa anaiba nyumbani ujue anakaribia kufa)
asanteni nawasilisha