Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Wanawarudisha kuhodhi ardhi kwa kivuli cha kulima mashamba makubwa ,wanawarudisha kuhodhi ardhi kwa kuwapa sehemu za kati za utajiri wetu kwa kisingizio cha kutega uchumi ,wanawapa mbuga za wanyama kwa ajili ya kuwinda na kuwachukua wanyama hai kwa madazeni ,Kilimanjaro airport inatumika kikamilifu katika kusafirisha wanyama hai wa kila aina ,yaani utafikiri mbuga inahamishwa.Hakuna uwanja wa ndege unaotua midege mikubwa kama wa Kilimanjaro kwa ajili ya kusombea wanyama.
Hawa CCM ndio wanaokaa wakidanganya wengine kuwa CUF inataka kurudisha waarabu ,kuna sehemu Zanziba wameshapewa Waitali na sehemu ingine wamepewa waarabu ,yote haya hufanywa na CCM ,ila watanganyika wakiambiwa CUF ni Chama cha waarabu utadhani wamefungwa shemere za pua na kuvutwa ,wanakubaliana bila ya kuhoji ,lakini sasa unafiki wa CCM unatokeza juu juu ,mwenye macho haambiwi tazama.
Hawa CCM ndio wanaokaa wakidanganya wengine kuwa CUF inataka kurudisha waarabu ,kuna sehemu Zanziba wameshapewa Waitali na sehemu ingine wamepewa waarabu ,yote haya hufanywa na CCM ,ila watanganyika wakiambiwa CUF ni Chama cha waarabu utadhani wamefungwa shemere za pua na kuvutwa ,wanakubaliana bila ya kuhoji ,lakini sasa unafiki wa CCM unatokeza juu juu ,mwenye macho haambiwi tazama.