CCM chali Makete! Ni ktk uchaguzi wa wenyeviti wa vijiji

MAKETE
Ni maeneo ya vijijini sana (Matamba na Mahanji) Leo kulikuwa na Chaguzi ndogo mbili ambako wenyeviti wa awali CCM wote walifariki kwa nyakati tofauti, CHADEMA wameshinda vijiji vyote viwili kwa ushindi wa Kimbunga. Awali vijiji vyote vilikuwa chini ya CCM. Ni taarifa tu wandugu

asante kwa taarifa bwana Mnyika!
 
Ndio mkuu, wilaya ya Makete imegawanywa ktk mabonde makuu mawili . Bonde la Ukinga ambako ndiko makao makuu ya wilaya kuelekea Ziwa Nyasa na safu za Livingstone. Bonde la Uwanji linakaliwa na Wawanji kuelekea safu za Kipengele.
nimekuelewa mkuu , Njangula kumbe makete sio wakinga , anyway , M4C imepiga hodi nyanda za juu na hakuna fisadi atayesalimika
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama hawa Magamba wanaakili waanze kuboresha makazi yao mapya ya 2015 kule segerea na Keko.
 
Pipooooooooooooooooooooooz hayo ndo mambo kdoga kdogo tutafika, acha magamba waendeleze usingizi wa pono hasa mjengoni,naomba wasishtuke ili 2015 wapate bakora

  • :rant:
 
MAKETE
Ni maeneo ya vijijini sana (Matamba na Mahanji) Leo kulikuwa na Chaguzi ndogo mbili ambako wenyeviti wa awali CCM wote walifariki kwa nyakati tofauti, CHADEMA wameshinda vijiji vyote viwili kwa ushindi wa Kimbunga. Awali vijiji vyote vilikuwa chini ya CCM. Ni taarifa tu wandugu

Ndugu yangu hii ni taarifa muhimu sana. Huko ni kwetu nawajua ndugu zangu ni wazito sana kukubali mabadiliko. Hii inaashiria kuwa uozo wa Chama Tawala umewakinai. Mungu ibariki Tanzania na wengi wazinduke usingizini labda nchi itafanya positive changes
 
halafu mtu anajitokeza kwenye TV anabana pua eti serikali haihusikina mambo yaliyompata Dr.Ulimboka!!!! hovyooo..kama haihusiki akina ayubu wamefuata nini South Africa !
 
Hahahahahhahaaaaa! Makete wamenipa raha, leo sina hata haja ya kuchapa lunch, taarifa hii ni chakula tosha cha mabadiliko. NYINYIEM KWISHINEEEEEY
 
naomba namba ya m-pesa ya hao wananchi wa makete nijaribu kuwaangalizia hela ya kitoweo kidogo
. Kikwete amefaulu kukataa kuwa serkali haikuhusika ni kwasababu hakuna aliyembisha. Lakini siyo hawakufanya hivyo ila imani kuwa serkali imefanya hivyo ndiyo msingi wa wananchi kuiadhibuccm kuanzia sasa uchaguzi wowote ccm itaambulia patupu. Watabaki na wizi tu wa kula lakini kushinda wasahau. Bahati nzuri wananchi nao wameamuka watalinda kura na haki zao
 
Bravo CDM........ 2015 2TAKUWA BARABARANI KUSHANGILIA USHINDI, HATA BAADHI YA WAELEWA CCM WAMEONA HILO
 
Nimekuwa Njombe mawiki mawili yaliyopita nimegundua kuwa vijijni wanachukia sana CCM kuliko watu wa mijini
 
naamini hata jimbo na wilaya yangu litafanya maajabu ukitokea uchaguzi wowote....kama mnabisha ombeni nafasi yoyote ya wazi itokee
 
Ma-CCM(Magamba) watakuja sasa hivi na kusema ni vijiji vya Wachagga hivyo!!!! Take note of my words!!!!!!
MAKETE
Ni maeneo ya vijijini sana (Matamba na Mahanji) Leo kulikuwa na Chaguzi ndogo mbili ambako wenyeviti wa awali CCM wote walifariki kwa nyakati tofauti, CHADEMA wameshinda vijiji vyote viwili kwa ushindi wa Kimbunga. Awali vijiji vyote vilikuwa chini ya CCM. Ni taarifa tu wandugu
 
Kibanga hivi unajua Makete umefanyika uchaguzi vijiji saba na vitongoji vinne?kati ya vijiji saba ccm wameshinda vijiji sita na kimoja chadema cha matamba na kati ya vitongoji vinne ccm wameshinda vitatu na kimoja ccm!

Vijiji vilivyofanya uchaguzi:

Utengule-ccm
Nyangala-ccm
Ukanga-ccm
Kidope-ccm
Iyoka-ccm
Ngonde-ccm
Matamba chadema

Vitongoji

Unyambogela-ccm
Ikata-ccm
Killovo-ccm
Mlangali-Chadema
asante sana kwa ufafanuzi pia kuna uchaguzi DIWANI katika kata ya USILILO huko nako tunategemea kuwavua watu magamba tu
 
Hata wewe pia unakosea ndugu, kweli wilaya yetu haifanyiwi utafiti. Kweli kuna Mahanji -Bulongwa ni ya wakinga wa lahaja ya kimahanji. Mahanji iliyofanya uchaguzi ni ya Wawanji ktk tarafa ya Matamba. Ni kijiji jirani kabisa na Matamba kiasi kwamba ni ngumu hata kuona mpaka baina ya vijiji hivyo. By the way kuna mwamko mkubwa zaidi kwa Wawanji kuliko Wakinga kisiasa. Wawanji wako karibu zaidi na Mbeya hivyo influence kisiasa inatoka Mbeya. Hata uchaguzi 2010 eneo lao lingesimama kama jimbo upinzani ungepita lkn ktk tarafa sita Wawanji ni tarafa 2 tu za Ikuwo na Matamba.
hongera kwa kuanza kuleta mabadiliko yatakayoleta nafuu na demokrasia ya kweli
 
MAKETE
Ni maeneo ya vijijini sana (Matamba na Mahanji) Leo kulikuwa na Chaguzi ndogo mbili ambako wenyeviti wa awali CCM wote walifariki kwa nyakati tofauti, CHADEMA wameshinda vijiji vyote viwili kwa ushindi wa Kimbunga. Awali vijiji vyote vilikuwa chini ya CCM. Ni taarifa tu wandugu
Niliwahi kusema wabena na hata wakinga ujinga hawataki.Wakiona una wadanganya hata ugonile juve hupati
 
Back
Top Bottom