Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Akili ya panzi kabisa,siku hizi waziri yuko kwenye ziara za kiserikali anatembea na mabaunsa wa CCM,hapo kilichofanyika ni kupandikiza chuki,hata mm nimechukizwa na kitendo cha huyo dogo kupigwa pasipo sababu,ni uonevu huo,ni hali ya kujidai kuwa CCM wako juu ya sheria,ole wenu nyie CCM na ufisadi wenu,hakika Mungu hajala,na siku zenu zinahesabika
argument yako ni kitoto sana.kwani aliyeanza vurugu ni nani?au una mtindio wa ubongo brother.