Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Mkuu unataka hata kwenye misiba wasishirikiane?je wasingehukwepo msimbani ungekuja na hoja ipi
Vema sana kushirikiana namna hii,siasa c uadui
Hapa Nape anamwambia Dr. Slaa bado kidogo tunamaliza kazi ambayo tuliiza, magamba lazima waondoke, ila Nape anasisitiza msije mkanigeuka wakati mimi nafanya kazi kubwa ya kuyaangamiza magamba
Hiyo ndio breaking nyuuuuzi?alafu kwa ufikili wako unataka wachukiane hadi ktk udhni?think before act mkubwa wewe sasa sio unakurupuka tu!