Tangu Tanzania ianze mfumo wa vyama vingi ni vyama viwili pekee ambavyo vimeweza kubadilisha wenyeviti wao kitaifa .Vyama vingine kama vile cuf,tlp,na Udp ni kama vile ukishakua mwenyekiti wa chama kitaifa njia pekee ya kuondoka kwenye uwenyekiti kitaifa ni mpaka hapo Mwenyezi mungu atakapoamua na si vinginevyo,hii ni aibu si tu kwa taifa letu bali pia ni ubakaji mkubwa wa demokrasia yetu changa