P Precise Pangolin JF-Expert Member Jan 4, 2012 12,998 6,659 Jun 16, 2012 #2 Du CCM inataka kujeuza watoto wetu wawe kama ndama
Lekakui JF-Expert Member Apr 2, 2012 1,451 589 Jun 16, 2012 Thread starter #3 Kweli hawa watu wameweza,wamethubutu,na wanazidi kusonga mbele PIG UP GUYS
Sangarara JF-Expert Member Sep 29, 2011 13,100 5,649 Jun 16, 2012 #4 huyo mtoto mbona ana onekana kuwa na afya nzuri, au danganywa na unene? na pia nina wasi wasi kama hii picha ni ya Tanzania.
huyo mtoto mbona ana onekana kuwa na afya nzuri, au danganywa na unene? na pia nina wasi wasi kama hii picha ni ya Tanzania.