sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Tumeshuhudia kujivua magamba kusiko kwenyewe, kama wanataka lakini kama hawawezi ama hawataki. CCM wanasukumwa na ukelele wa jamii hasa wanapokumbuka matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita wanapata HOFU YA KUTAMANI KUTENDA KULIKO DHAMIRA NDANI YA NAFSI ZAO, hivi ikitokea wamewatimua hao watu watatu CCM ITASIMAMA....?