Ntaramuka
Senior Member
- May 2, 2008
- 169
- 27
Mhadhiri mwandamizi wa sayansi ya siasa-UDSM dk Benson Bana amesema Chama Cha Mapinduzi bado ni imara ukilinganisha na vyama vingine. Hoja yake ameijenga kwa vigezo hivi:
1. Chama kina ofisi za shina hadi taifa ambako kuna umoja wa vijana, wanawake, wazazi nk
2. Maslahi ya taifa. Katiba, sera, ilani nk ya CCM zinaeleza vizuri sana maslahi ya watanzania. Tatizo la Ccm ni kwenye utekelezaji, tatizo ambalo si la Ccm peke yake kwani ccm siyo ya malaika. Je, unadhani yuko sahihi? Kwa nini? Thibitisha
1. Chama kina ofisi za shina hadi taifa ambako kuna umoja wa vijana, wanawake, wazazi nk
2. Maslahi ya taifa. Katiba, sera, ilani nk ya CCM zinaeleza vizuri sana maslahi ya watanzania. Tatizo la Ccm ni kwenye utekelezaji, tatizo ambalo si la Ccm peke yake kwani ccm siyo ya malaika. Je, unadhani yuko sahihi? Kwa nini? Thibitisha