CCM bado ina muda mrefu sana wa kuongoza, ni zaidi ya 2020

<br />
<br />
ndo upeo wenu ulpoishia kuwatukana tu watu..na kuwatoa akil..mshabk yoyote anaeshabkia shabkia mambo ya CDM n MPUUZ
unaihaibisha ID name unayotumia...................mmi ni mwana sisiem ila kwa kinachoendelea ssa ni upuuzi mtupu,ka hupendi cdm bsi tumwambie mzee wetu wa afrika mashariki tufufe tena CCJ
 
<font size="3">uelewa wako ni mdogo sana katika mambo haya, jaribu kujifunza zaidi.<br />
<br />
Kuna mambo mengi ambayo huyajui na hujui kuwa huyajui.</font>
<br />we ndio mbumbumbu yakwako unayofahamu iko wapi?
<br />
 
Kwa mwenendo uliopo ndani ya vyama vikubwa vya upinzani yaani CHADEMA; CUF na NCCR-MAGEUZI sioni chama kinachoweza kutimiza utabiri wa Nyerere kuwa wapinzani wanaweza kuchukua nchi mwaka 2015. hizi ndizo sababu za kushindwa kwa utabiri wa Nyerere:-
1. Vyama vya upinzani vimeshindwa kufikisha ushawishi vijijini
2. Vyama vya upinzani vimeshindwa kupenyeza ushawishi kwa wafanyabiashara wakubwa
3. Vyama vya upinzani vumeshindwa kuingiza ushawishi kwa watendaji wataalam
4. Vyama vya upinzani vimeshindwa kuyaishi mawazo vinayodai kuwa ni mbadala kwa maendeleo ya nchi
5. LAST but not least; vyama vya upinzani vimeshindwa kutueleza vinafuata nadhalia ipi kati ya soko huria na soko kiritimba hali hii inadhihirisha nia dhalimu walio nayo hawa wapinzani!!

COCLUSION: Mnaoota ndoto za upinzani kushika nchi mwaka 2015 amkane na achaneni na hizo ndoto za mchana!!

Ndio tatizo la kuwa na wachambuzi vihiyo,vilaza na wasio na tija....nikikuuliza umefanya lini research mpaka ukaja na this type of conclusion utanijibuje? Unajua kama ningekuwa na uwezo nikapata nafasi ya kuwa mods hapa JF nadhani ningepukutisha vilaza wengi sana...mnatuletea msongamano hapa JF wakati hamna chochote zaidi ya kuleta mawazo maji taka.....
 
hayo ni mwazo yako!!<br />
na napata wakati mgumu kujua ulichofikiri nacho ila jibu rahisi ni Masaburi.<br />
kwani leo hii pita hata kijijini na chata la ccm uone aibu yake ila hulazimishwi,amini ujuavyo wewe<br />
<br />
ila ujue 2015 mwisho wa Magamba.
<br />aibu labda huko mtaani kwenu
<br />
 
uelewa wako ni mdogo sana katika mambo haya, jaribu kujifunza zaidi.

Kuna mambo mengi ambayo huyajui na hujui kuwa huyajui.

<br />
<br />
ndo upeo wenu ulpoishia kuwatukana tu watu..na kuwatoa akil..mshabk yoyote anaeshabkia shabkia mambo ya CDM n MPUUZ


Hivi wana JF tuwe fair Jamani huyu bwana katukanwa wapi?

Mimi uwa nabishana na wale wanasema kuwa vijana walioko CCM wapimwe akili, lakini kuna wakati hawa wanaojipambanuwa kama wana CCM humu JF wananiangusha sana! Mara zote uwezo wao wa kujenga hoja haubishani na nadha ya kuwa wapimwe akili zao kama zipo timamu. Maana mtu kuambiwa kuwa kuna mambo hayajui ajifunze zaidi tayari anafungua uwanja wa matusi!

Thanks Bwana Mkubwa, ndivyo mlivyozoe huko kuwa unalo ongea lolote lipongezwe hata kama halina mantiki yoyote. kuanzia leo sinto changia thread yako bwana mkubwa kama ndio lengo lako.
 
Hv kwanini hapa JF mamemba wapya ndio wanakuja kukandia wapinzani? Je wametumwa? Je ndio ule mkakati wa Nape?
 
2020 cha mtoto 2012 mtavuka wakati meli yenu inawezakuzama wakati wowote kuanzia sasa hivi?
 
<font size="3">Hivi wana JF tuwe fair Jamani huyu bwana katukanwa wapi? <br />
<br />
Mimi uwa nabishana na wale wanasema kuwa vijana walioko CCM wapimwe akili, lakini kuna wakati hawa wanaojipambanuwa kama wana CCM humu JF wananiangusha sana! Mara zote uwezo wao wa kujenga hoja haubishani na nadha ya kuwa wapimwe akili zao kama zipo timamu. Maana mtu kuambiwa kuwa kuna mambo hayajui ajifunze zaidi tayari anafungua uwanja wa matusi! <br />
<br />
Thanks Bwana Mkubwa, ndivyo mlivyozoe huko kuwa unalo ongea lolote lipongezwe hata kama halina mantiki yoyote. kuanzia leo sinto changia thread yako bwana mkubwa kama ndio lengo lako.</font>
<br />wana ccm tunaomba radhi changia hoja mkuu.dnt b disappointed take easy sometimes tht is just a chalenge on hw strong ar u to wthstand such chaos.
<br />
 
Kwa mwenendo uliopo ndani ya vyama vikubwa vya upinzani yaani CHADEMA; CUF na NCCR-MAGEUZI sioni chama kinachoweza kutimiza utabiri wa Nyerere kuwa wapinzani wanaweza kuchukua nchi mwaka 2015. hizi ndizo sababu za kushindwa kwa utabiri wa Nyerere:-&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
1. Vyama vya upinzani vimeshindwa kufikisha ushawishi vijijini&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
2. Vyama vya upinzani vimeshindwa kupenyeza ushawishi kwa wafanyabiashara wakubwa&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
3. Vyama vya upinzani vumeshindwa kuingiza ushawishi kwa watendaji wataalam&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
4. Vyama vya upinzani vimeshindwa kuyaishi mawazo vinayodai kuwa ni mbadala kwa maendeleo ya nchi&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
5. LAST but not least; vyama vya upinzani vimeshindwa kutueleza vinafuata nadhalia ipi kati ya soko huria na soko kiritimba hali hii inadhihirisha nia dhalimu walio nayo hawa wapinzani!!&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
COCLUSION: Mnaoota ndoto za upinzani kushika nchi mwaka 2015 amkane na achaneni na hizo ndoto za mchana!!

Arguably aunthentic analysis much as Magwanda will hate to buy it. It will real take months of Sundays for Tanzanians to have a picture of what the message has been carried by the opposition, because as it appears, most of the so called opposition parties only bears an irresistible desire of grabbing power out of CCM hands without any articulate plan on how they will lead the country. This utterly looks ludicrous because how can you take control of the government while you have proved failure in organising such a tiny institution like Chadema which, as a result of weak leadership, is beleagured with endless silent internal disputes and misunderstanding among top officials? I suggest the opposition to spend an ample time in learning what it takes to rule the country before dreaming of seizing power.
 
uelewa wako ni mdogo sana katika mambo haya, jaribu kujifunza zaidi.

Kuna mambo mengi ambayo huyajui na hujui kuwa huyajui.

<br />
<br />
ndo upeo wenu ulpoishia kuwatukana tu watu..na kuwatoa akil..mshabk yoyote anaeshabkia shabkia mambo ya CDM n MPUUZ

ARAFAT!
Nitajie mambo matano kati ya hayo mengi ambayo siyajui na sijui kuwa siyajui! na itakuwa vizuri sana kama utayataja kwa mifano!!

Kabla ya kukutajia Mkuu nihakikishie kuwa wewe na huyo anayetafuta uwanja wa ugomvi na matusi si wamoja.
 
Hongera kwa kujaribu kufikiria,bado kuna miaka 4 mbele,je unajua nini kitatokea?
 
mh!! so confusing!!
Hivi TANU wakti inachukua nchi ilikuwa na wasomi wengi kama ilivyo CHADEMA ya leo? Kama siyo,Je mambo hayakwenda?
CHAMA hata kikiwa na wanachama kumi if they are dedicated to their job, then change will prevail!!
CHADEMA; CUF; NCCR-MAGEUZI; DP na wengine msikatishwe tamaa na hao wachache wenye woga wa mabadiliko!!
just keep on pushing!!
 
Kwa mwenendo uliopo ndani ya vyama vikubwa vya upinzani yaani CHADEMA; CUF na NCCR-MAGEUZI sioni chama kinachoweza kutimiza utabiri wa Nyerere kuwa wapinzani wanaweza kuchukua nchi mwaka 2015. hizi ndizo sababu za kushindwa kwa utabiri wa Nyerere:-<br />
1. Vyama vya upinzani vimeshindwa kufikisha ushawishi vijijini<br />
2. Vyama vya upinzani vimeshindwa kupenyeza ushawishi kwa wafanyabiashara wakubwa<br />
3. Vyama vya upinzani vumeshindwa kuingiza ushawishi kwa watendaji wataalam<br />
4. Vyama vya upinzani vimeshindwa kuyaishi mawazo vinayodai kuwa ni mbadala kwa maendeleo ya nchi<br />
5. LAST but not least; vyama vya upinzani vimeshindwa kutueleza vinafuata nadhalia ipi kati ya soko huria na soko kiritimba hali hii inadhihirisha nia dhalimu walio nayo hawa wapinzani!!<br />
<br />
COCLUSION: Mnaoota ndoto za upinzani kushika nchi mwaka 2015 amkane na achaneni na hizo ndoto za mchana!!
<br />
<br />
BABA AKO TUKUMBUSHE MKUU WA MKOA WAPI VILE?
 
Back
Top Bottom