KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nilikuwa nikitafuta nikitugani watakifanya kwa kuazimisha miaka yote hii tangu kuzaliwa kwake wawezekujivunia mbele ya macho ya watu?Maana kauli mbiu ya ccm na mwal nyerere ilikuwa ujinga,maradhi,umasikini,Rushwa lakini hivi ndivyo vimewakumbatia wananchi!!CCM wanaona aibu??