CCM Arusha yamtega Pinda

Msharika

JF-Expert Member
May 15, 2009
947
69
Mewenyekiti wa CCM Arusha amtaka waziri Mkuu atoe tamko juu ya utata wa Meya arusha. Ni kumbeep mtoto wa mkulima au nikutafuta kujitoia kwenye tope alilozama?
Source :: IPPMEDIA:party:
 
Mewenyekiti wa CCM Arusha amtaka waziri Mkuu atoe tamko juu ya utata wa Meya arusha. Ni kumbeep mtoto wa mkulima au nikutafuta kujitoia kwenye tope alilozama?
Source :: IPPMEDIA:party:


Halmashauri zote nchini ziko chini ya ofisi ya waziri mkuu kwa mujibu wa katiba iliyozeeka.
Hivyo ni Jukumu la Mtoto wa Mkulima kutoa tamko la serikali, siyo Makamba anayeropoka kuwa uchaguzi hautarudiwa.
 
mtoto wa mkulima an wakati mgumu anajiandaa kwenda kulia mbungeni kana kwamba ameguswa na mauaji ya wananchi wasiokuwa na hatia,pili unajua makamba ndio mwajili wake.
 
Back
Top Bottom