Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Leo kwenye taarifa ya saa moja usiku katika Channel ten...
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha ameomba Waziri Mkuu kuingilia kati sakata la Umeya wa Arusha kwa kutoa ufafanuzi kama Katibu wa Mkoa wa CCM Arusha ambaye ni mbunge wa viti maalumu wa Mkoa wa Tanga anaweza kushiriki katika kupiga kura za kumchagua Meya wa Arusha kwa vile sasa ni mkazi wa Arusha badala ya Tanga.
Kauli hii ya CCM Arusha inatofautiana na ile ya Makamba ambaye kila mara amekuwa akisisitiza Chadema waende Mahakamani kuhoji uhalali wa Chatanda kushiriki uchaguzi huo...
Kama kweli Huyo M/kit wa CCM mkoa anaongea upuuzi huo ni bora asije taka umaarufu kwa vyombo vya habari jamani sie ni watu wazima wasitufanye kama mazuzu hapa au uko Arusha wananchi wamedhalauliwa kiasi gani mpaka huo mkoa CCM waonekane ndio mkoa wao wa Ki CCM????? au ku nani hapo A town CCM wanahitaji lazima tu ni wakubwa wamepateka hapo na ndipo machafuko yatakapo anzia ndugu zangu mmoja mji huo najua kabisa hauna hadhi ya kuitwa jiji Tanga ni kuzuri kwa kupangika nikiwa na maana ya mipango miji ila Arusha ninavyokufahamu watu wamejijengea holela ni sehemu chache sana viwanja vimepimwa ki jiji inavyopaswa kama kuna wakweli waseme hapa tusi mnyongeee Arusha nchini jamani kama ni uongo sememni Arusha yastahili JIJI??? sasa kwanini hawa CCM wanalilia hilo jimbo hapo?
Huyo M/kiti anamtaka pinda aingilie kivipi amtetee Chitanda kuwa ni mkazi wa Arusha? kwa sasa kumbukeni Makatibu wa CCM kama Chitanda ni wakuhamishwa kila kukicha iweje yeye ni mkazi wa Arusha leo? na huku ni mbunge viti maalumu kutoka Tanga na ndiko sasa huko ni makazi yake, kwa akili ya kawaida tuu jamani kwa hili la u mayor huko Arusha ndg M/kiti wa CCM chitanda sio wa huko ni wa Tanga nandiko akapigie kura ya Mayor wa JIJI la TANGA
Msimfanye Pinda mjinga hayo yote ni kuharibiana huko wewe umeshindwa kuiongoza CCM kutetea jimbo la arusha mjini ambalo kwa desturi tuu CCM huwa inalipata kwa kupitia mahakamani na kuchakachua sasa this time imekula kwenu msilazimishe mambo hapo kuna baadhi ya viongizi wengi wa CCM esp Mawaziri wanajiuliza pia CCM arusha kunani hapo mwataka kujionyesha au kujitakasa kwa JK kuwa mwalifanyia kazi jimbo hilo ni aibu sana mwakuwa kama haman famili pia zikawashauli kuhusu hiliii