Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Leo kwenye taarifa ya saa moja usiku katika Channel ten...
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha ameomba Waziri Mkuu kuingilia kati sakata la Umeya wa Arusha kwa kutoa ufafanuzi kama Katibu wa Mkoa wa CCM Arusha ambaye ni mbunge wa viti maalumu wa Mkoa wa Tanga anaweza kushiriki katika kupiga kura za kumchagua Meya wa Arusha kwa vile sasa ni mkazi wa Arusha badala ya Tanga.
Kauli hii ya CCM Arusha inatofautiana na ile ya Makamba ambaye kila mara amekuwa akisisitiza Chadema waende Mahakamani kuhoji uhalali wa Chatanda kushiriki uchaguzi huo...
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha ameomba Waziri Mkuu kuingilia kati sakata la Umeya wa Arusha kwa kutoa ufafanuzi kama Katibu wa Mkoa wa CCM Arusha ambaye ni mbunge wa viti maalumu wa Mkoa wa Tanga anaweza kushiriki katika kupiga kura za kumchagua Meya wa Arusha kwa vile sasa ni mkazi wa Arusha badala ya Tanga.
Kauli hii ya CCM Arusha inatofautiana na ile ya Makamba ambaye kila mara amekuwa akisisitiza Chadema waende Mahakamani kuhoji uhalali wa Chatanda kushiriki uchaguzi huo...