Nimesikitishwa sana na tukio la juzi la wakazi wa Arusha kuamua kwenda kukesha uwanja wa NMC unga ltd.
Nilikuwepo uwanjani mpaka saa TANO nikiwatazama watu hawa na nikawaona wanaelewa wanachokitaka na kile walichokichoka.
Bila ya mimi kujua kumbe na mtoto wangu alikuwepo hapo uwanjani na amekesha mpaka asubuhi walipofikuzwa na polisi.
Suala la UMEYA arusha toka mwaka jana hawa CHADEMA wanalalamika na hakuna anayewasikiliza. Waziri Mkuu ameahidi na kutoa maagizo vikao vifanyike lakini mambo yanapuuzwa, Polisi nao wanapiga watu ambao kimsingi wanadai haki kabisa tena haki ya kweli. Usiku ule wananchi hawakuwa na sime wala mapanga kisa cha kuwapiga na mabomu na kuwafukuza kwa risasi za moto hakionekani. Haki ya Mungu niliapa mwanangu angerudi nyumbani na alama ningetoka na mtu.
ENYI CCM NYINYI, JUZI MAMBO YALINIFIKA SHINGONI, NATAMANI MFE ILA MAPENZI YA MUNGU YATIMIZWE. Arusha damu itamwagika, tena damu itamwagika. Dalili zinaonekana, watu wana hasira na CCM, mnapokonya haki ya CHADEMA wazi wazi hivi??
Juzi kwenye hotuba ya mkesha nimemulewa sana Freeman Mbowe na Dr Slaa. Nilikuwa sijalielewa vema suala hili la Arusha kuhusu umeya na huyu OCD Zuberi Mombweji. Nilikuwa kila siku namlaumu Mbunge LEMA kuwa ni mtu wa fujo kumbe LEMA ANAZO HOJA ZA MSINGI, UKWELI NA HAKI YA WATU WA ARUSHA IMEPOKONYWA.
Najisikia kuwa siiwezi kuvumilia ushenzi huu tena. CHADEMA PAMBANENI, HAMUWEZI KUFA, NA HAFI MTU KIPUMBAVU MAANA MNAPIGANIA HAKI. Huu ni wakati wenu kwa ajili yetu Watanzania.
Mpaka mbunge anakubali kwenda jela ili kutoa ujumbe na watu wamefunga masikio hawasikii?? Mungu wangu naogopa maana hii ni dalili nzuri ya watu kuchukua Mapanga na sime. damu yetu na watoto wetu itakuwa mikononi mwenu CCM.
Ole wako diwani wa CCM uliyekubali kubeba uovu huu na kuukubali UMEYA wa ubatili maana siku imefika ya ufalme wa CCM kufa kwa AIBU.
Eeeh Mungu unirehemu mimi na nchi yangu Tanzania.
Nilikuwepo uwanjani mpaka saa TANO nikiwatazama watu hawa na nikawaona wanaelewa wanachokitaka na kile walichokichoka.
Bila ya mimi kujua kumbe na mtoto wangu alikuwepo hapo uwanjani na amekesha mpaka asubuhi walipofikuzwa na polisi.
Suala la UMEYA arusha toka mwaka jana hawa CHADEMA wanalalamika na hakuna anayewasikiliza. Waziri Mkuu ameahidi na kutoa maagizo vikao vifanyike lakini mambo yanapuuzwa, Polisi nao wanapiga watu ambao kimsingi wanadai haki kabisa tena haki ya kweli. Usiku ule wananchi hawakuwa na sime wala mapanga kisa cha kuwapiga na mabomu na kuwafukuza kwa risasi za moto hakionekani. Haki ya Mungu niliapa mwanangu angerudi nyumbani na alama ningetoka na mtu.
ENYI CCM NYINYI, JUZI MAMBO YALINIFIKA SHINGONI, NATAMANI MFE ILA MAPENZI YA MUNGU YATIMIZWE. Arusha damu itamwagika, tena damu itamwagika. Dalili zinaonekana, watu wana hasira na CCM, mnapokonya haki ya CHADEMA wazi wazi hivi??
Juzi kwenye hotuba ya mkesha nimemulewa sana Freeman Mbowe na Dr Slaa. Nilikuwa sijalielewa vema suala hili la Arusha kuhusu umeya na huyu OCD Zuberi Mombweji. Nilikuwa kila siku namlaumu Mbunge LEMA kuwa ni mtu wa fujo kumbe LEMA ANAZO HOJA ZA MSINGI, UKWELI NA HAKI YA WATU WA ARUSHA IMEPOKONYWA.
Najisikia kuwa siiwezi kuvumilia ushenzi huu tena. CHADEMA PAMBANENI, HAMUWEZI KUFA, NA HAFI MTU KIPUMBAVU MAANA MNAPIGANIA HAKI. Huu ni wakati wenu kwa ajili yetu Watanzania.
Mpaka mbunge anakubali kwenda jela ili kutoa ujumbe na watu wamefunga masikio hawasikii?? Mungu wangu naogopa maana hii ni dalili nzuri ya watu kuchukua Mapanga na sime. damu yetu na watoto wetu itakuwa mikononi mwenu CCM.
Ole wako diwani wa CCM uliyekubali kubeba uovu huu na kuukubali UMEYA wa ubatili maana siku imefika ya ufalme wa CCM kufa kwa AIBU.
Eeeh Mungu unirehemu mimi na nchi yangu Tanzania.