‘’CCM ‘’ A Purposefully Scavenger

GHOST RYDER

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
1,025
475
‘’CCM ‘’ A Purposefully Scavenger

Huwezi kuamini katikati ya Harakati za Wabunge wa Upinzani kuendeleza jitihada za kuikaba koo serikali. Ghafla CCM inachomoa turufu yake tata kufumba macho watanzania mpaka wachangiaji hapa JF.

Kwa mwezi mzima habari itakuwa hii huku shauku, udadisi na tetesi zikimulika kundi la mapacha wawili waliosalia itakuwaje.

Wakati haya yakiendelea, Agenda ya Umeme itasahaulika, Agenda ya kuunda Tume kuchunguza ubadhilifu katika Jeshi la Wananchi Tanzania litasahaulika, maneno ya kejeli ya Sitta yasahaulika na turufu nyingine nyingi za ukombozi wa Tanzania ambazo zimesikumwa tangu Bunge lilipoanza awamu hii.

Lets get focused People
 
Kaka utadhani tumefundishwa na mwalimu mmoja, na lecture ya leo ndio hii kwani nilikuwa nafikiria hivi hivi.

Kwanza walidandia ujio wa tiba ya Babu wa Loliondo wakati UMMA umewasha moto kupinga malipo ya DOWANS. Matokeo yake mpaka leo hakuna watu waliohoji tena kuhusu hatma ya malipo yale. Kilichosikika ni SYMBION pekee. Na hii ya leo ni fursa by design ili kuzima moto unaotakiwa kuwaka bungeni kuhusu Mgao wa Umeme na utendaji mbovu.

Ili kuwasahaulisha watu mambo ya misingi, basi tunatengenezewa HOJA za kujadili. Ni vizuri RA kaachia ngazi na tumeshajua hilo sasa turudi kwenye hoja zetu za msingi
 
Kaka utadhani tumefundishwa na mwalimu mmoja, na lecture ya leo ndio hii kwani nilikuwa nafikiria hivi hivi.

Kwanza walidandia ujio wa tiba ya Babu wa Loliondo wakati UMMA umewasha moto kupinga malipo ya DOWANS. Matokeo yake mpaka leo hakuna watu waliohoji tena kuhusu hatma ya malipo yale. Kilichosikika ni SYMBION pekee. Na hii ya leo ni fursa by design ili kuzima moto unaotakiwa kuwaka bungeni kuhusu Mgao wa Umeme na utendaji mbovu.

Ili kuwasahaulisha watu mambo ya misingi, basi tunatengenezewa HOJA za kujadili. Ni vizuri RA kaachia ngazi na tumeshajua hilo sasa turudi kwenye hoja zetu za msingi

Suprising na Vijana wa Magamba wamepost thread za kutosha zenye agenda moja na hundred of forum members wote wamenaswa kwenye hiyo thread...Woote wamesahau Agenda ya Msingi kirahisi kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom