Usinichekeshe bana
CCK ufufuo wa CCJ kimepata usajili baada yakukamilisha taratibu zote.....Hongera sana Bw.Akitanda kwa kukifikisha hapo.Angalizo,ogopeni sana mafisadi wasiwatumie katika harakati zao !!!!!!
chama cha HAMAD na SITTA
Huu utitiri wa vyama unasaidiaje kuondoa umasikini wa watanzania, wachumia tumbo tu hao hawana jipya.
Hebu nifafanulie hapa...Hao CDM si ndio walienda kunywa juisy Ikulu?( na wana mpango wa kurudi tena baada ya kunogewa)CCK,NCCR,CUF lao moja,chama cha upinzani Tanzania ni CDM
I know what you mean lol!. Yaani wewe kila ukisikia CCJ unamkumbuka MM