Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,227 113,580 Jul 6, 2012 #1 Hivi kile chama cha CCJ (CCK?) kimeishia wapi?
Ben Mugashe JF-Expert Member Oct 9, 2008 998 615 Jul 6, 2012 #2 Kiko mifukoni mwa Watu kinasubiri wale watakaofukuzwa kwenye vyama vyao vya sasa :A S 465:
P Precise Pangolin JF-Expert Member Jan 4, 2012 12,998 6,659 Jul 6, 2012 #3 Nyani Ngabu said: Hivi kile chama cha CCJ (CCK?) kimeishia wapi? Click to expand... Wanachama wake wengi bado wapo misitu ya pande wanasubiri Noma Yao kuhusu dr ulimboka isanuke
Nyani Ngabu said: Hivi kile chama cha CCJ (CCK?) kimeishia wapi? Click to expand... Wanachama wake wengi bado wapo misitu ya pande wanasubiri Noma Yao kuhusu dr ulimboka isanuke
K Kagalala JF-Expert Member Oct 31, 2010 2,403 1,132 Jul 6, 2012 #4 Tumuulize Nape anaweza kuwa na jibu sahihi. Labda anasubiri CCM kinuke aibuke tena na chama chake
nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,515 20,005 Jul 6, 2012 #5 Mpendazoe alikzidoa,kimekosa wateja sababu uasisi wake una element za usaliti
MwanaFalsafa1 JF-Expert Member Feb 26, 2008 5,565 836 Jul 6, 2012 #6 Kina subiria 2015 kiibuke tena. Sasa hivi kipo mapumziko. Ila kuna member fulani humu alikipromote sana 2010 atakua anajua zaidi.
Kina subiria 2015 kiibuke tena. Sasa hivi kipo mapumziko. Ila kuna member fulani humu alikipromote sana 2010 atakua anajua zaidi.
R RC. JF-Expert Member May 24, 2012 444 41 Jul 6, 2012 #7 muulize makonda,samweli stta,mwakyembe,na nape nnauye!