libent JF-Expert Member Oct 29, 2011 382 84 Dec 7, 2011 #3 tatizo lao hawa wote ni wanafiki wanang'ang'ania kuvuana magamba badala ya kuweka sera nzuri wajiandae 2015 kutemwa
tatizo lao hawa wote ni wanafiki wanang'ang'ania kuvuana magamba badala ya kuweka sera nzuri wajiandae 2015 kutemwa
driller JF-Expert Member Aug 25, 2011 1,116 240 Dec 10, 2011 #5 hapo kama lingepigwa bomu nadhani wanajf wengi wangetoa pole ya kinafiki..!