Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #41
Sasa hapa ndio mizengwe mbele kwa mbele.. kuna agizo limetolewa wazi kuwa CCJ no usajili.. naambiwa ni kutoka kwa wenye kutoa maagizo hayo na kama watapewa basi ucheleweshwe ili wasiweze kushiriki uchaguzi. Lengo ati ni kutotaka kuua upinzani uliopo sasa kwani itakuwaje chama kije juzi juzi tu na kuweza kuchukua nafasi ya vyama vikongwe vya upinzani.. well.. kila kitu kina gharama..