CCJ Kulikoni!?

Mkulu Kitila Mkumbo,
Hivi nchi hii itaendelea kwa mtindo huu wa kutaka kufanya mambo kwa kificho na kichinichini hadi lini? Ni aibu sana kwa nchi ambayo inajitapa kwamba inaendesha nchi kwa misingi ya utawala bora kwa kufuata demokrasia, kufanya michezo ya kuigiza ya aina inayoendelea hivi sasa nchini mwetu. Tunaipeleka wapi Tanzania yetu?

Kuna kificho zaidi ya haya wanayofanya CCJ? Watu walio behind CCJ wanaogopa kujitokeza, wanawatanguliza watu ambao sio wanasiasa, matokeo yake wanafanya madudu hadi yanakera, sasa nani anayejifica hapa? Mimi binafsi hawa CCJ wananikera kwa sababu wame-deviate attention yetu. Badala tu-focus kwenye mambo ya msingi ili uchaguzi ujao tuimarishe bunge letu kwa kuongeza wapinzani, tumebaki tunajadili CCJ ambayo haipo!! It's is a shame upon us all.
 
Someni comment za mwananchi mmoja kuhusu CCJ hapa chini:


'Kwa tafakuri tunduizi ujio wa CCJ....tena kwa mbwembwe kibao zinazosaidiwa na
ubunifu wa uandishi wa habari husio na uaadilifu.... umekuwa wa manufaa kwa CCM na
wale ndani ya CCM wanaotamani vyama vya CUF , CHADEMA, NCCR, na UDP visaauliwe na
watu wafikiri kimeingia mjini chama mkombozi KIMOJA kitakachofanya kazi ya
kukingoa chama tawala cha CCM PEKE YAKE...Ujaja huu wa porini umesaidiwa sana na
vitendo vya watendaji wa serikali wanaopenda sana kutenda mambo yanayokipatia CCJ
nafasi ya kutanganzwa kama mwali maalum hata kama mtukutu....Ushauri wangu kwa
vyama hususani CHADEMA na CUF ni huu: mkifanikiwa kushirikiana kwa dhati katika
misingi ya kuhakiki kisayasi ni wapi kila mmoja wenu ana ushawishi
madhubuti....Bunge lijalo la Tanzania litakuwa lenu...Hata Urais wa Jamuhuri ya
Muungano unanukia ikiwa mmoja wenu atamsimamisha mwanasiasa makini anayetokea
katika jamiii/tabaka ambazo zimewekwa pembezoni na mfumo wa siasa na uchumi wa sasa
unaoratibiwa na makuadi wa soko huria...kwa mfano: mwanamke machachari kisiasa na
mwenye ujasiri wa kupambana na uongo na uzandiki unaotawala siasa za sasa hivi...
au hata Lakini walau Bunge ili mtumie nafasi hiyo kubadili katiba...Matumaini ya
Watanzania yarudi kwa vyama vikuu CUF, CHADEMA, NCCR, UDP, TLP.... More and more
people will soon realize that CCJ is a decoy ... ..''
 
Kuna kificho zaidi ya haya wanayofanya CCJ? Watu walio behind CCJ wanaogopa kujitokeza, wanawatanguliza watu ambao sio wanasiasa, matokeo yake wanafanya madudu hadi yanakera, sasa nani anayejifica hapa? Mimi binafsi hawa CCJ wananikera kwa sababu wame-deviate attention yetu. Badala tu-focus kwenye mambo ya msingi ili uchaguzi ujao tuimarishe bunge letu kwa kuongeza wapinzani, tumebaki tunajadili CCJ ambayo haipo!! It's is a shame upon us all.

kwanini miaka 15 baadaye upinzani haujaimarika? Ukiangalia sana utaona kuwa ujio wa CCJ ndio utaimarisha upinzani aidha iwe na usajili wa kudumu au la kwa sababu kwa upande mmoja inawalazimisha wapinzani wengine kujipima wao wenyewe na kuona nini wanatakiwa kufanya na upande wa pili wanaipa ujumbe CCM kuwa kuna zaidi ya upinzani nchini.
 
kwanini miaka 15 baadaye upinzani haujaimarika? Ukiangalia sana utaona kuwa ujio wa CCJ ndio utaimarisha upinzani aidha iwe na usajili wa kudumu au la kwa sababu kwa upande mmoja inawalazimisha wapinzani wengine kujipima wao wenyewe na kuona nini wanatakiwa kufanya na upande wa pili wanaipa ujumbe CCM kuwa kuna zaidi ya upinzani nchini.
realy? kila la heri. Lakini huwezi fanya haya ukiwa huna usajili mkuu. Hapa ndipo nakushangaa. Haya mengine nadhani nyakati zingine wafanya kujifurahisha tu. Nyie ni sawa na TLP tu.
 
Hadi hivi sasa nashangaa hakuna mwandishi aliyemuuliza "ulisema huna bajeti wala fedha za kufanya uhakiki hizi unazotumia umezitoa wapi"? hahahah kwa sababu akirudi kabla ya mwisho wa wiki hii atatangaza kukifuta CCJ na hatua yake hiyo itaungwa mkono na viongozi kadhaa wa CCM na upinzani kwa kisingizio cha kutotaka kupoteza fedha za walipa kodi kwa chama hewa. Miongoni mwa viongozi wa upinzani ambao watafanya hivyo nipamoja na wale tunaowajua sana. - Huu si utabiri ni taarifa tu.
 
the biggest mistake made by CCJ ni ile kusubiri ati hadi karibu na uchaguzi ndio waanze makekek... hizo mbinu huwa hazifanyi kazi sehemu ambazo bado tuko kwenye dictatorship na extreme poverty

DAWA NI KUANZA UPYA TU kwani matarajio makubwa yalikua ni vigogo wa CCM wakati tunajua kwamba majority ya hao vigogo ni money mongers na wanafiki wakubwa who can do anything for power

DN
 
Hadi hivi sasa nashangaa hakuna mwandishi aliyemuuliza "ulisema huna bajeti wala fedha za kufanya uhakiki hizi unazotumia umezitoa wapi"? hahahah kwa sababu akirudi kabla ya mwisho wa wiki hii atatangaza kukifuta CCJ na hatua yake hiyo itaungwa mkono na viongozi kadhaa wa CCM na upinzani kwa kisingizio cha kutotaka kupoteza fedha za walipa kodi kwa chama hewa. Miongoni mwa viongozi wa upinzani ambao watafanya hivyo nipamoja na wale tunaowajua sana. - Huu si utabiri ni taarifa tu.
Kama mnategemea huruma ya wananchi eti Ccj ifutwe ndipo muanze kulia, hakuna mtu atayekifuta chama chenu Ccj itajifuta yenyewe naturally, ni kama mgonjwa wa ukimwi utahangaika kumpa dawa zote lakini moyoni unajua hakuna dawa ya kumponyesha.
 
Hadi hivi sasa nashangaa hakuna mwandishi aliyemuuliza "ulisema huna bajeti wala fedha za kufanya uhakiki hizi unazotumia umezitoa wapi"? hahahah kwa sababu akirudi kabla ya mwisho wa wiki hii atatangaza kukifuta CCJ na hatua yake hiyo itaungwa mkono na viongozi kadhaa wa CCM na upinzani kwa kisingizio cha kutotaka kupoteza fedha za walipa kodi kwa chama hewa. Miongoni mwa viongozi wa upinzani ambao watafanya hivyo nipamoja na wale tunaowajua sana. - Huu si utabiri ni taarifa tu.
Mkuu wangu Itikadi ni IMANI hivyo hata kama CCJ isipo sajiliwa bado wafuasi wake wataendelea kuwa na imani ya mageuzi kama walivyo batizwa.. Na itakuwa kosa kubwa kama mtatumia Utabiri wa kile kitakachotokea badala ya kujizatitia kwa yale yenye Uhakika kulingana na imani yenu..

Hakika mimi kama mwananchi nitasema kwamba Usajili wa vyama vyote zaidi ya vitatu ni matumizi mabaya sana ya fedha za walipa kodi, hasa kwa watu wanaoamini kuongozwa kwa itikadi..Na maadam CCJ wanaongozwa kwa Itikadi tena wakidai wao ni mrengo wa kulia - Conservative matumizi haya ya vyama vingi ni moja ya vitu wasivyotakiwa kuvipa kipaumbele hata kama inawahusu wao wenyewe (cut government spending).

Walitakiwa kuwa msitari wa mbele kuongoza kuvunjika kwa vyama utitiri na kuunda kimoja au viwili vya Upinzani, inashangaza tu pale CCJ inapolilia kusajiliwa hali wakisahau itikadi yao inasisitiza vitu gani. Juu ya hayo yote kazi hii inafanyika dakika za mwisho kukaribia Uchaguzi mkuu, jambo ambalo halina tofauti na wabunge wa CCM wanaotekeleza baadhi ya ilani zao majimboni kila inapokaribia Uchaguzi.

Kwa hiyo mkuu wangu matatizo karibu yote ya CCJ yametokana na wao wenyewe, nan ndio maana imekuwa vigumu sana kuwashawishi wananchi kwa sababu mnarudia yaleyale ya viongozi matapeli hata kama hamkuwa na nia hiyo. Na kusema kweli hata mimi nitashukuru ikiwa CCJ haikusajiliwa na hatma yake ikajulikana mapema kwa sababu hadi sasa hivi CCM ndiye mshindi na kwa kila mnalokazania kutokea CCM wanachekelea kwani CUF, Chadema,TLP na NCCR ni vyama dhaifu kweli kwa kukosa umoja hivyo kugawa nguvu ya kura za wananchi baina yao. Udhaifu wao sii ktk Umaarufu ila upo ktk kugawana kura za wananchi -Period.

Sasa maadam CCJ imegundua udhaifu wa vyama hivi kwa miaka 15 iliyopita inashangaza tu kuona wao CCJ wakirudia makosa yaleyale ya kugawana kura za wananchi badala ya gonjwa hili kulipatia dawa. Hakika kelele zetu hizi zote ni pale CCJ wanaliwekea Donda letu chunvi, kilio chetu ni maumivu tunayoyapata tukijua hakuna ponya ila mtafaruku..
 
mimi naona ccm haifai kulaumiwa ikiwa hata jina la katibu wa chama halipo katika orodha ya wanachama na tendwa sehemu alizopita hamna hata ofisi ya makuti ya ccj.Hichi ni chama cha vyombo vya habari (kifupi ni waganga njaa kama mtikila)
 
Back
Top Bottom