Ukisoma between the lines, inaelekea CCJ ilikuwa inawatisha sana CHADEMA. Naona CHADEMA wanapumua kwa nguvu zote baada ya kuona CCJ wamefulia.
Mimi nilijua toka mwanzoni kwamba hao CCJ ni hoax tu toka mwenyekiti wao aliposemwa amekabwa Kariakoo. Mara ya pili walisema watawatambulisha vigogo, lakini hakutokea mtu badala yake hata viongozi wakachelewa kwenye mkutano.
Hiki ndio chama mnafikiri mtu makini kama Dr. Salim anaweza eti kukimbilia?
Naona Mpendazoe na mzee Mwanakijiji wamefulia big time.
Mimi nilijua toka mwanzoni kwamba hao CCJ ni hoax tu toka mwenyekiti wao aliposemwa amekabwa Kariakoo. Mara ya pili walisema watawatambulisha vigogo, lakini hakutokea mtu badala yake hata viongozi wakachelewa kwenye mkutano.
Hiki ndio chama mnafikiri mtu makini kama Dr. Salim anaweza eti kukimbilia?
Naona Mpendazoe na mzee Mwanakijiji wamefulia big time.