Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Jana katika vyombo mbali mbali vya habari niliona habari juu ya baadhi ya wanachama wa CCJ waliokuwa wana hakikiwa na msajili wa vyama kuwa walighushi, na uanachama wao ni batili.
Cha ajabu nilimwona mwenyekiti wa CCJ akifoka kwa hasira "huyu mzee (Tendwa) ameshindwa kazi, ni bora ajiuzuru"
Huku mwenyekiti huyo akisisitiza kuwa zoezi hilo lighailishwe, lisiendelee tena kwa maeneo mengine.
Maswali yangu kwa CCJ:
1) Nini tatizo kwa hao wanachama (inaosemekana ni) batili
2) Nakumbuka CCJ ilikuwa ikisubiri kwa hamu zoezi hili la uhakiki; Kulikoni tena mnataka zoezi lisiendelee?
3) Mkono wa CCM upo wapi haswa kwa wanachama wanaosemekana ni batili?
Cha ajabu nilimwona mwenyekiti wa CCJ akifoka kwa hasira "huyu mzee (Tendwa) ameshindwa kazi, ni bora ajiuzuru"
Huku mwenyekiti huyo akisisitiza kuwa zoezi hilo lighailishwe, lisiendelee tena kwa maeneo mengine.
Maswali yangu kwa CCJ:
1) Nini tatizo kwa hao wanachama (inaosemekana ni) batili
2) Nakumbuka CCJ ilikuwa ikisubiri kwa hamu zoezi hili la uhakiki; Kulikoni tena mnataka zoezi lisiendelee?
3) Mkono wa CCM upo wapi haswa kwa wanachama wanaosemekana ni batili?