Click_and_go
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 451
- 5
....wanaJF, nimekaa nikatafakari kuhusu kile chama cha CCJ kilichoibuka from no where wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu mwaka jana, kiliibuka ibuka tu na ikasemekana ni watu waliojimega kutoka CCM,,,,,ila kilidisapper kama jinsi kilivyoibuka baada ya kuletewa mizengwe ya usajili!
Hivi yawezekana ule ulikuwa mradi wa mafisadi au??
Hivi yawezekana ule ulikuwa mradi wa mafisadi au??