CCJ Iko wapi?

MMkjj, unajua tukijua kinachoendelea, itakuwa rahisi kuanza Ku-mix na akili zetu! si unajua akili zetu zina-process taratibu sana? Ukija mwishoni mwishoni, tutaguna.!

Duh! Punguza kidogo Bigirita! Naona MMKJJ umeshampeleka ukutani kwa hizo kejeli, mwachie kidogo ajipange!
 
Duh! Punguza kidogo Bigirita! Naona MMKJJ umeshampeleka ukutani kwa hizo kejeli, mwachie kidogo ajipange!
Mkuu! ni kwa nia njema tu!!
Unajua mara zote, wanasiasa wamekuwa wakifikiri, wao ndo wanahitaji muda wa kufikiri, hata sisi tunahitaji muda waku-digest fikara zao.
Sasa wakitupa short notice, maana yake hawataki tuwafikirie na kuwawazua na kupima kama wanafaa na wana nia ya dhati! haitoshi kuwa na mtu au watu wawili waliomeguka CCM na kujiunga na CCJ to make it a better political party. Najua unafahamu hilo. Hata 1995, Mrema and Co. walimeguka, lakini wapi???
 
End of the road! Warudi kundini wasaidie kuuondoa udhalimu wa sisiemu! Mawazo ya Mtei si mabaya sana.
 
Duh! Punguza kidogo Bigirita! Naona MMKJJ umeshampeleka ukutani kwa hizo kejeli, mwachie kidogo ajipange!

Ivi mkuu uliona comments za MWJJ hapa na majigambo yake na CCJ? Yeye ni nani mpk tusimuulize imekuaje? Not to celebrate in his 'defeat' but to ask for his acknowledgement of failure in CCJ part! I doubt he will ever do that! Itakuwa kama Nyerere na Ujamaa...hahahaha!
 
Ivi mkuu uliona comments za MWJJ hapa na majigambo yake na CCJ? Yeye ni nani mpk tusimuulize imekuaje? Not to celebrate in his 'defeat' but to ask for his acknowledgement of failure in CCJ part! I doubt he will ever do that! Itakuwa kama Nyerere na Ujamaa...hahahaha!

Ni kweli. He appeared so sure of himself that I wondered whether there were'nt big people in CCM behind him. What went wrong szarch me, but he can throw some light.
 
Wamekuwa kimya sana hawa jamaa!...Naogopa watatudisappoint!...Mi niliahidiwa ningekutana nao mahali baada ya kujiunga na kupewa nambari ya kadi, lakini sijaona mtu kwenye rendzevous!...Is something not happening somewhere?

PakaJimmy unapoteza muda wako kujiunga na hoax. Yaani hujaona vyama mpaka ujiunge na chama ambacho hakieleweki,imagine mmeahidiana upewe kadi wameshindwa kushow up,hivi wewe huoni kama ni hoax?imagine wameshindwa kuthibitisha wanachama walipotakiwa kufanya hivyo tena kwa kuomba wao wenyewe kwa nguvu toka kwa Tendwa?wamejipa siku 100 kutafuta la kufanya,wakati huo huo wameanza kusambaratika mmoja baada ya mwingine,,unafikiri kuna chama hapo?
 
Ni kweli. He appeared so sure of himself that I wondered whether there were'nt big people in CCM behind him. What went wrong szarch me, but he can throw some light.
...I wondering kama MMkjj ana muda wa ku-strategize, b'se yupo busy busy....si unajua yale mambo yetu ya shigongo? (he is good at it though!!)
 
Tuliza ball.. kila vita na mbinu zake! Usifa moyo... mabadiliko ni mwaka huu huu tu anayetaka kusubiri 2015 kaliwa!
Kiongozi, for me this (in red above) is the most - if not the only - positive thing you have said since you started preaching about your CCJ. Big up! Mtu yeyote (awe CCJ, shetani, etc) akisema mabadiliko ni mwaka huuhuu - I have got his/her back!!
 
Kiongozi, for me this (in red above) is the most - if not the only - positive thing you have said since you started preaching about your CCJ. Big up! Mtu yeyote (awe CCJ, shetani, etc) akisema mabadiliko ni mwaka huuhuu - I have got his/her back!!
Kusema tu haitoshi!! Je unafanya nini?

i will tell you what I am doing:
1)At my capacity, nahudhuria vikao vyote vya Mtaa, na kuonyesha kwa ukali mambo gani yanatakiwa kufanywa, lakini yamefanywa amabayo si ya msingi.....kwa kuchanguia,
2) Nimewa-inspire vijana mtaani kwangu kuhudhuria vikao vya mtaa na kuhoji utekelezaji wa ahadi za kikwete kwa vijana.
3) Nina what i can call with confidence positive minded political class la vijana zaidi ya 30, na pia wanatengeneza timu amabayo kwa mshahara wangu wa mbayuwayu naweza kununua mipira miwili mitatu!!
4) Kwa connections za kawaida kabisa, nasambaza publication moja ya HakiElimu inaitwa Ahadi za serikali, (government promises) ili vijana wasome na waone ni kwa jinsi gani viongozi wao wana-promise vitu kila siku na hawafanyi chochote kutekeleza ahadi zao.
Attached hapa ni copy ya kiingereza ya government promises.

Kila mmoja wetu anayesema mabadiliko ni mwaka huu ana-wajibu wa kufanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuwa chachu ya mabadiliko hayo!! na siyo kuwa chachu ya political diversion!!
 
Ivi mkuu uliona comments za MWJJ hapa na majigambo yake na CCJ? Yeye ni nani mpk tusimuulize imekuaje? Not to celebrate in his 'defeat' but to ask for his acknowledgement of failure in CCJ part! I doubt he will ever do that! Itakuwa kama Nyerere na Ujamaa...hahahaha!

You must be out of your mind! Nyerere died a hero inside Tanzania, Africa and the world because of his Ujamaa. Umesahau jinsi vijana kutoka kona zote za Tanzania waliojitokeza kuupokea mwili wake Dar airport na kulifuata jeneza waki-joghadi Msasani bila kuchoka wakiimba nyimbo zilizojaa sifa, kwa mkombozi wao Baba wa Taifa lao? Aliwezaje kuwa hero kiasi hicho - ni kutokana na huo Ujamaa wake unaoucheka hahahaha!

Wakati unadai MMKJJ ni nani kumbuka kwamba Nyerere naye wazungu walijiuliza hivyohivyo kwamba mzanaki huyu ni nani kwani kiasi cha kudhani kwamba anaweza kuongoza mapambano dhidi ya sisi wazungu na uzungu wetu. Yaliyotokea kama huyajui waulize wanaosoma jinsi Uhuru wa nchi hii ulivyopiganiwa na kupatikana. Wee dharau tu kwa kuuliza fulani ni nani, usijejikuta unaacha mdomo wazi huko mbele ya safari kwa mshangao!
 
You must be out of your mind! Nyerere died a hero inside Tanzania, Africa and the world because of his Ujamaa. Umesahau jinsi vijana kutoka kona zote za Tanzania waliojitokeza kuupokea mwili wake Dar airport na kulifuata jeneza waki-joghadi Msasani bila kuchoka wakiimba nyimbo zilizojaa sifa, kwa mkombozi wao Baba wa Taifa lao? Aliwezaje kuwa hero kiasi hicho - ni kutokana na huo Ujamaa wake unaoucheka hahahaha!

Wakati unadai MMKJJ ni nani kumbuka kwamba Nyerere naye wazungu walijiuliza hivyohivyo kwamba mzanaki huyu ni nani kwani kiasi cha kudhani kwamba anaweza kuongoza mapambano dhidi ya sisi wazungu na uzungu wetu. Yaliyotokea kama huyajui waulize wanaosoma jinsi Uhuru wa nchi hii ulivyopiganiwa na kupatikana. Wee dharau tu kwa kuuliza fulani ni nani, usijejikuta unaacha mdomo wazi huko mbele ya safari kwa mshangao!
Hatuulizi MMKjj ni nani, tunauliza vipi? Kulikoni...Tulimzoea mwenzetu alitupa matumaini, alituambia samaki aliyeko jikoni, atattutosha sisi wote, sasa kimya, na njaa tunayo, tunamkumbusha tu kama yule samaki kaliwa na paka au bado yupo tumngoje tumle pamoja kama wana wa ndugu mmoja!!!
 
Kusema tu haitoshi!! Je unafanya nini?

i will tell you what I am doing:
1)At my capacity, nahudhuria vikao vyote vya Mtaa, na kuonyesha kwa ukali mambo gani yanatakiwa kufanywa, lakini yamefanywa amabayo si ya msingi.....kwa kuchanguia,
2) Nimewa-inspire vijana mtaani kwangu kuhudhuria vikao vya mtaa na kuhoji utekelezaji wa ahadi za kikwete kwa vijana.
3) Nina what i can call with confidence positive minded political class la vijana zaidi ya 30, na pia wanatengeneza timu amabayo kwa mshahara wangu wa mbayuwayu naweza kununua mipira miwili mitatu!!
4) Kwa connections za kawaida kabisa, nasambaza publication moja ya HakiElimu inaitwa Ahadi za serikali, (government promises) ili vijana wasome na waone ni kwa jinsi gani viongozi wao wana-promise vitu kila siku na hawafanyi chochote kutekeleza ahadi zao.
Attached hapa ni copy ya kiingereza ya government promises.

Kila mmoja wetu anayesema mabadiliko ni mwaka huu ana-wajibu wa kufanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuwa chachu ya mabadiliko hayo!! na siyo kuwa chachu ya political diversion!!

Hongera sana!! Unafikiri jeshi zima la Marekani linalopigana Iraq au Afghanistan wote wako Iraq na Afghanistan? Ungejua mambo yanayofanyika Northern Command au Pentagon yenye effect Kandahar au Baghdad ungeshangaaa.. Msijidanganye kwa kuamini kuwa mtashinda kwa "the ground approach tu". Shauri lenu.
 
Ivi mkuu uliona comments za MWJJ hapa na majigambo yake na CCJ? Yeye ni nani mpk tusimuulize imekuaje? Not to celebrate in his 'defeat' but to ask for his acknowledgement of failure in CCJ part! I doubt he will ever do that! Itakuwa kama Nyerere na Ujamaa...hahahaha!

wrong.. tatizo lako unafikiri niko defeated au CCJ iko defeated... well I can't convince you otherwise.
 
CCJ hawana lolote nafikiri walifikiri siasa rahisi. Walisahau kumuliza Dr Slaa badala yake wakamdharau. Nadhani wataanza kutafuta ushauri sasa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom