CCBRT kufungwa na serikali?

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
WanaJF naomba msaada wenu, mimi nikuwa nikipata hudama mara nyingi kwenye hospital ya CCBRT. Nimekuwa nikifatilia mkwaluzano uliopo kati ya Hospital hii kipenzi cha wengi na Serikali.
Mwaka Jana katika gazeti fulani(sikumbuki ni gazeti gani samahani) wizara ya afya alitoa orodha ya hospital ambazo zinafanya vibaya CCBRT ikiwemo, nilipoona hivyo sikuamini mana kwa Tanzania hakuna hospital nzuri kama ile(kwa huduma Zake)

Leo nimesikia kwenye magazeti kwamba serikali imevunja mkataba wake(sijui ni mkataba gani??)

WAnaJF nisadiani kwa hili.

1. Nani mmiliki wa CCBRT
2. Kwanini Serikali inasumbuana na CCBRT wakati inasadia kundi kubwa la watu hapa Tanzania??
3. Au kuna mikono ya kisiasa??
 
History of CCBRT

1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert Vanneste founded CCBRT. Their mission was to contribute towards poverty alleviation by making rehabilitative services accessible and affordable to people with disabilities. In 1994, CCBRT was registered as a private Non-Governmental Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian Societies Act, No SO8261.




  • 1994 Establishment of the CCBRT Community Based Rehabilitation Programme in Dar es Salaam
  • 1995 Establishment of the International Training Programme
  • 1996 Establishment of the CCBRT Community Based Rehabilitation Programme Moshi
  • 1996 Foundation of the CCBRT Eye Unit
  • 2001 Foundation of the CCBRT Disability and Development Hospital
  • 2005 Introduction of the CBR Support Centres
  • 2006 After 12 years of committed management, Geert Vanneste hands over the management of CCBRT to Erwin Telemans
  • 2008 Establishment of Programme Development Unit
  • 2009 Establishment of Communications Department





employment overview at CCBRT



  • number of employees: 329
  • number of medical staff: 139
  • number of rehabilitative staff: 47
  • number of technical staff: 43
  • number of administrative staff (including CCBRT Directors and Programme Managers; headquarter staff; PEPFAR project; Programme Development Unit; Communications Department; Accounts; Human Resources: 100


CCBRT in the future

Over the coming years, we look forward to many exciting developments at CCBRT. Our strategic plan for 2008 - 2012 includes the following aims:

  • to consolidate and maintain the current service level and the number of surgeries carried out at our disability hospital.
  • to broaden the range of rehabilitative services at CCBRT Disability Hospital and offer speech, occupational therapy and a broader range of physiotherapy methods.
  • to provide a wider variety of mobility and seating devices for children with permanent disabilities e.g. corner chairs, standing frames, wheel chairs, tricycles.
  • to enhance the development and empowerment of staff members through regular staff training.
  • to ensure a continued high quality service and the close follow up of patients receiving services.
  • to improve maternal and newborn healthcare through Baobab Maternity Hospital.
 
History of CCBRT

1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert Vanneste founded CCBRT. Their mission was to contribute towards poverty alleviation by making rehabilitative services accessible and affordable to people with disabilities. In 1994, CCBRT was registered as a private Non-Governmental Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian Societies Act, No SO8261.




  • 1994 Establishment of the CCBRT Community Based Rehabilitation Programme in Dar es Salaam
  • 1995 Establishment of the International Training Programme
  • 1996 Establishment of the CCBRT Community Based Rehabilitation Programme Moshi
  • 1996 Foundation of the CCBRT Eye Unit
  • 2001 Foundation of the CCBRT Disability and Development Hospital
  • 2005 Introduction of the CBR Support Centres
  • 2006 After 12 years of committed management, Geert Vanneste hands over the management of CCBRT to Erwin Telemans
  • 2008 Establishment of Programme Development Unit
  • 2009 Establishment of Communications Department




employment overview at CCBRT



  • number of employees: 329
  • number of medical staff: 139
  • number of rehabilitative staff: 47
  • number of technical staff: 43
  • number of administrative staff (including CCBRT Directors and Programme Managers; headquarter staff; PEPFAR project; Programme Development Unit; Communications Department; Accounts; Human Resources: 100

CCBRT in the future

Over the coming years, we look forward to many exciting developments at CCBRT. Our strategic plan for 2008 - 2012 includes the following aims:

  • to consolidate and maintain the current service level and the number of surgeries carried out at our disability hospital.
  • to broaden the range of rehabilitative services at CCBRT Disability Hospital and offer speech, occupational therapy and a broader range of physiotherapy methods.
  • to provide a wider variety of mobility and seating devices for children with permanent disabilities e.g. corner chairs, standing frames, wheel chairs, tricycles.
  • to enhance the development and empowerment of staff members through regular staff training.
  • to ensure a continued high quality service and the close follow up of patients receiving services.
  • to improve maternal and newborn healthcare through Baobab Maternity Hospital.


TANZANIA KWELI ITAENDELEA KUWA MASIKINI, WILL NEVER NEVER NEVER NEVER DEVELOP KAMA NDO MTINDO HUU WA SERIKALI YA JK :flypig::flypig: KUBAN MIRADI YA MAENDELEO
 
CCBRT in faces mbili. Ukweli ni kwamba inaponya na kuharibu macho ya watu pia (Kitengo cha macho) Kuna madaktari bingwa walikuwa pale CCBRT kama Dr Hood (Kama sikosei) huyu mjerumani alikuwa ni mtaalam wa macho hasa. Kuna mzee wangu mmoja mwanzo alifanyiwa upasuaji hapohapo CCBRT na vijana wa kibongo, anasema wakati wanamfanyia walikuwa wanapiga stori za CLUB week end jinsi walivyo strarehe, kilichofanyika wakalipua kazi na kuweka lens upande baadae ikawa inashuka after 3 years akawa haoni kabisa jicho lililofanyiwa upasuaji. Akarudi tena na kumkuta Dr Hood ambaye baada ya kumpima tu akaanza kusikitika na hata machozi kumlengalenga. Akamwambia jicho lililofanyiwa upasuaji limeharibika kwa sababu waliomfanyia wliweka lens upande.

Akamfanyia yeye mwenyewe jicho lililobaki mpaka leo karibu miaka mitatu linaona vizuri sana. Kufanya vibaya kwa CCBRT kunawezekana kunatokana na incompetent medical staff walioachiwa kufanya kazi hiyo(wabongo wenzetu, baada ya wataalam wa kijerumani kurudi kwao)
 
CCBRT in faces mbili. Ukweli ni kwamba inaponya na kuharibu macho ya watu pia (Kitengo cha macho) Kuna madaktari bingwa walikuwa pale CCBRT kama Dr Hood (Kama sikosei) huyu mjerumani alikuwa ni mtaalam wa macho hasa. Kuna mzee wangu mmoja mwanzo alifanyiwa upasuaji hapohapo CCBRT na vijana wa kibongo, anasema wakati wanamfanyia walikuwa wanapiga stori za CLUB week end jinsi walivyo strarehe, kilichofanyika wakalipua kazi na kuweka lens upande baadae ikawa inashuka after 3 years akawa haoni kabisa jicho lililofanyiwa upasuaji. Akarudi tena na kumkuta Dr Hood ambaye baada ya kumpima tu akaanza kusikitika na hata machozi kumlengalenga. Akamwambia jicho lililofanyiwa upasuaji limeharibika kwa sababu waliomfanyia wliweka lens upande.

Akamfanyia yeye mwenyewe jicho lililobaki mpaka leo karibu miaka mitatu linaona vizuri sana. Kufanya vibaya kwa CCBRT kunawezekana kunatokana na incompetent medical staff walioachiwa kufanya kazi hiyo(wabongo wenzetu, baada ya wataalam wa kijerumani kurudi kwao)

POle sana mkuu i hope mzee atakuwa anaendelea vizuri
 
yani hapo inaonyesha serikali aipendi mtu au shirika lolote linalowasaidia watanzania pasipo faida nayo
 
yani hapo inaonyesha serikali aipendi mtu au shirika lolote linalowasaidia watanzania pasipo faida nayo

Ni kweli kabisa mkuu. Ni sawa na ule mradi wa umeme kule Selous ambao Wachina wanataka kutujengea na wenye uwezo wa kuzalisha MW 2000 serikali hawataki kutoa kibali wanasema eti mpaka mwaka 2025. Huenda ni kwa sababu wao wanafaidika na haya makampuni ya wizi kama IPTL, Agreko n.k na tenda za ukodishaji wa majereta. Yaani kwa kifupi ni mpaka wao watakapokuwa hawako madarakani na wameshajilimbikizia mabilioni ya kutosha. Sijuwi wataenda nayo wapi hayo mapesa yote. Ndo maana wazungu wanatuona waafrika kama mazezeta. Haiingii akilini taifa lenye matatizo makubwa ya umeme linagomea mradi mkubwa kama ule bila sababu ya msingi. Inauma sana kwa kweli.
 
Yaani hapa nilipo machozi yananilenga lenga,ccbrt ni kitengo muhimu sana ktk afya za watoto na watu wenye ulemavu.dalili niliziona pale serikali iliposhindwa kutoa ruzuku ili watoto wenye mitindio ya ubongo eti badala yake wakatibiwe moi.nadhani hata wajerumani wanatuona hatuna akili.serikali ilipaswa kutoa ushirikiano na ruzuku kama ifanyavyo kwa hosp maalumu kama kcmc kibongoto mirembe.jamani tutumie nguvu kuleta mabadiliko!!!
 
Wanataka kila familia iwe na mkakati wa kuchanga hela za kwenda matuitabu India.
 
Hii inafurahisha kama sio kusikitisha. Kwamba serikali inaipiga vita CCBRT kwa kuwa mmoja wa waanzilishi wake na Director ni mpinzani wa serikali. Maelfu ya Watanzania na huduma wanazopata pale sio muhimu kwa serikali yetu hata kidogo.

Hebu tafuteni sababu za msingi za serikali kuipiga vita hii hospitali pamoja na huduma zake nzuri kwa maelfu ya Watanzania mbali ya hiyo kwamba Dr. Slaa is one of the Directors!!!!! Inawezekana kuna sababu tofauti.

Je mgogoro wa serikali (wizara ya afya) na THI uliishia wapi maana nayo ilikuwa ikipigwa vita kwa sababu ilitaka kuharibu biashara ya kupeleka watu India kutibiwa ugonjwa moyo?

Tiba
 
Yaani hapa nilipo machozi yananilenga lenga,ccbrt ni kitengo muhimu sana ktk afya za watoto na watu wenye ulemavu.dalili niliziona pale serikali iliposhindwa kutoa ruzuku ili watoto wenye mitindio ya ubongo eti badala yake wakatibiwe moi.nadhani hata wajerumani wanatuona hatuna akili.serikali ilipaswa kutoa ushirikiano na ruzuku kama ifanyavyo kwa hosp maalumu kama kcmc kibongoto mirembe.jamani tutumie nguvu kuleta mabadiliko!!!

Pole sana mkuu nchi hii inaunzwa cjui nani wa kuiokoa
 
Inasikitisha sana yaani ni wizi tu. Serikali ya Tanzania sijui huwa inalenga nini ktk kuhudumia wananchi kwani imekuwa ikiipiga vita THI na sasa CCBRT kisa wakubwa pale wizara ya afya wanakosa pesa ambazo huwa wanazipata wakipeleka wagonjwa hewa nje ya nchi.
 
Inasikitisha sana yaani ni wizi tu. Serikali ya Tanzania sijui huwa inalenga nini ktk kuhudumia wananchi kwani imekuwa ikiipiga vita THI na sasa CCBRT kisa wakubwa pale wizara ya afya wanakosa pesa ambazo huwa wanazipata wakipeleka wagonjwa hewa nje ya nchi.

Mkuu hii serikali sijui inafikilia nini mana kila kukicha wanazuka na kitu kingine,MIMI NAOMBA WAENDELEE NA NIA HIYO YA KUIFUNGA NDO WATANZANIA TUTAKAPOKUWA NA MAJIBU YA KUIFANYIA SERIKALI YETU
 
Back
Top Bottom