opportunist2012
Member
- Feb 8, 2012
- 92
- 8
Kuna tetesi baadhi ya wanasiasa wanataka kuwapotosha wapiga kura Arumeru siku ya wajinga trh 01/04/2012 ambayo ni siku ya kupiga kura.Wanapanga mikakati ya kuwadanganya wananchi na kuwapotosha kuhusu CHADEMA.Lengo lao ni kupunguza kura za CHADEMA kwa kuwazuia wapiga kura waijitokeze vituoni.