Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
- Thread starter
- #41
wewe acha ubishi angalia mazingira ya kubusiana, halafu ndio ubishe...oooh kumbe unaosha kinywa?wewe humjui huyu pape...
Kila siku anakuja hapa na
story za aina hii.haziko sincere....
Zimejaa plots za kubuni.
Hakuna mlinzi wa kampuni atakae thubutu kukudai pesa
kwa sababu umem kiss mwanamke kwa hiari yake.
Halafu bosi wa kampuni inamuhusu nini kama
wewe umeoa na ume mkiss mwanamke mwingine?