Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Kuna uwezekano mkubwa sana huko tuendako wanaume wengi wakawa majoka ya kibisa
Inapunguza hata nguvu za kike
Mie nimempiga marufuku mke wangu kunywa hiyo
Ni balaa.
Tena wangeweka dawa ya kuzikata kabisa hizo nyeti...ukinywa tu kesho huikuti ili wakome kuchovyachovya
Mi natumia Castle lite, nitafurahi sana kama ni kweli inapunguza nguvu za kiume niondokane na usumbufu wa kuchomeka chomeka!
lakini nasikia Reds ndiyo inayopunguza nguvu za kiume, tatizo ni tamu na mimi siwezi kunywa!
Shabashiii..Mkuu Mungi wewe ulipaswa kuwa wa kwanza kukanusha tuhuma hizi kwani wewe ni mtumiaji. Je ni kweli network huwa inakata kata pindi unapokuwa umekata hii castle lite....???
Kongosho jinsia yako inachanganya bana.
Mkuu toka nianze kutumia nimekuwa mbaya kuliko kawaida. Kitu inakuwa na nguvu kama nini!
waongo hao. labda kama baadaye ndiyo italeta shida sijui
Inapunguza hata nguvu za kike
Mie nimempiga marufuku mke wangu kunywa hiyo
Ni balaa.
Kumbe inaongeza na sio inapunguza....labda namna wanavyokunywa wengine mkuu bila kuweka vitu mbavuni.....unakula chips vumbi..halafu unakamata castle lite 10....lazima network inakata kote kote mkuu...inatakiwa upige trupa nzima halafu unakamata castle lite..ukitoka hapo network inakamata mbaya....toa maoni yake Mungi na wewe
kama badae basi itakuwa ni uzee sio biaMkuu toka nianze kutumia nimekuwa mbaya kuliko kawaida. Kitu inakuwa na nguvu kama nini!
waongo hao. labda kama baadaye ndiyo italeta shida sijui
View attachment 46037Safari Lager bwana ndo beer.