Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
WanaJF?
Nasikia wamiliki wa Caspian Mining/Construction Limited ni RA and his family pamoja na Habib. Sina hakika kama ndo huyu CEO wao but frontline kwenye discussion za earth movers kwenye mine sites naona Habib and Acram Aziz. Nasikia CCM wanahisa hapa. Is this true?
Habari ambazo sijazidhibitisha ni kuwa kuna kampuni nyingine inaitwa RINO/RENO imeanzisha na inafanana sana na Caspian Logo. Je ndo hio inayozungumziwa na Tanzania Daima ya leo jumapili?
Walipita hapa Mwanza wakielekea North Mara, vipi ile tenda ya huko wanaanza lini kwa wenye taarifa? Tatizo ni nini? Habari za hapa na pale ni kuwa Barrick hawataki RINO wanataka Caspian. Mwenye taarifa zaidi kwa manufaa ya wanaJF ni nzuri zaidi
Nani na wasifu wa Habib? Is he Tanzanian?
Naombeni mwenye maelezo yeyote.
Asanteni
Nasikia wamiliki wa Caspian Mining/Construction Limited ni RA and his family pamoja na Habib. Sina hakika kama ndo huyu CEO wao but frontline kwenye discussion za earth movers kwenye mine sites naona Habib and Acram Aziz. Nasikia CCM wanahisa hapa. Is this true?
Habari ambazo sijazidhibitisha ni kuwa kuna kampuni nyingine inaitwa RINO/RENO imeanzisha na inafanana sana na Caspian Logo. Je ndo hio inayozungumziwa na Tanzania Daima ya leo jumapili?
Walipita hapa Mwanza wakielekea North Mara, vipi ile tenda ya huko wanaanza lini kwa wenye taarifa? Tatizo ni nini? Habari za hapa na pale ni kuwa Barrick hawataki RINO wanataka Caspian. Mwenye taarifa zaidi kwa manufaa ya wanaJF ni nzuri zaidi
Nani na wasifu wa Habib? Is he Tanzanian?
Naombeni mwenye maelezo yeyote.
Asanteni