NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Alifanya UMAFIA Wake Mwingi ila Alisalimu Amri Kwa Mzee Wangu Yoweri Kaguta Museveni Kwani Kisa Cha Yeye Kukamatwa na Interpol Nchini Sudan ni Baada Ya Kupewa Assignment na Rais Omar Ali Bashir wa Sudan Ya Kumuua Rais Wa Uganda ktk Uwanja wa Kimataifa Wa Entebbe Kwa Kuwa Museveni Alikuwa Akiwaunga Mkono Akina Hayati John Garang na Kikundi chake cha SPLA huku Bashir Nae Akimuunga Mkono Muasi Wa Muda Mrefu Joseph Kony na Kundi Lake La LRA. Kilichotokea Ni Kwamba Wakati Carlos The Jackal Akijaribu Kumvizia Museveni Pale Uwanjani Kikundi cha Ulinzi Cha Rais Ambacho Pia Kinaongozwa na Mwanae Muhoozi Kainerugaba Kiitwacho PGB ( Presidential Guard Brigade ) Ambacho Sasa Kinaitwa SFC ( Special Force Command ) Walikuwa Imara Sana na Kucheza na Angles Of Dangers ( Nadhani Wana USALAMA Haswa Wale wa VIP's ) Hapa Mtakuwa Mmenielewa na Pia Hata Ile Trademark Hat Ya Museveni Nayo Ilikuwa ni Kikwazo Kikubwa Kwake Carlos Kwani Alikuwa Akivizia Sana Sehemu Muhimu ktk Kichwa Cha Museveni ili Akibonyeza tu Trigger Yake Basi Awe Ameshamaliza Kazi. Hakufanikiwa na Alipoamua tu Kurudi Sudan Kuripoti Kwa Bashir Kuwa Ameshindwa na Apewe Muda ili Ajipange Upya Wakamgeuzia Kibao na Kudai Kuwa Pengine Amechukua Mlungula Kwa Baba Museveni na Haraka Sana Wakapiga Simu Nchini Ufaransa Ambao Walikuwa Wakimsaka Kwa Udi na Uvumba na Kwa Hatimaye Kwa Msaada Wa Askari Wa Interpol Wakaenda Kumkamata Jijini Khartoom. Ni Hayo tu Wana JF........!!!!!!!
Nilivyokuwa nasoma hili bandiko ni kama naangalia movie vile iko very interesting and detailed. safi sana mkuu endelea kutujuza zaidi