huu uwanja pamoja na mihela yote waliyotumia pitch yake ni rubbish kama zizi la ng'ombe!!
Huyu Owen mbona mbovu kimajeruhi hivi?
Manure hata wakishinda wamebebwa kwa sababu jamaa aliyesababisha penalty alikuwa apewe kadi nyekundu. - Stupid referee.
Rooooooneeeeeyyyyyyy! MANU 2 AV 1, huyu jamaa kwa magoli ya kichwa ananikumbusha enzi za Kitwana Manara.
Rooooooneeeeeyyyyyyy! MANU 2 AV 1, huyu jamaa kwa magoli ya kichwa ananikumbusha enzi za Kitwana Manara.
congrats! Manu, you wanted this cup more than aston villa and you deserve it.
youtube- t.i. - whatever you like [official video]