Carling Cup Final: Arsenal vs Birmingham

RayB

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
2,751
196
Its our silverware tomorrow. Will be there. Good luck gooners
 
Carling-Cup-Final-Arsenal-Birmingham-Van-Pers_2567417.jpg
 
mechi inaanza saa ngapi kwa masaa ya afrika mashariki? mimi jiografia ya kubadilia masaa ya gmt ilinipitia pembeni!
 
mechi inaanza saa ngapi kwa masaa ya afrika mashariki? mimi jiografia ya kubadilia masaa ya gmt ilinipitia pembeni!


Kwa masaa yaliyo katika GMT,ukitaka kujua kwa hapa TZ na East Afrika kwa ujumla,unajumlisha masaa 3 mbele. Mfano kama ni saa 5 asubuhi katika GMT,then TZ inakua ni saa 8 mchana;kama ni saa 10 jioni katika GMT hours,then TZ ni saa 1 usiku. I hope umeelewa.
 
Kwa masaa yaliyo katika GMT,ukitaka kujua kwa hapa TZ na East Afrika kwa ujumla,unajumlisha masaa 3 mbele. Mfano kama ni saa 5 asubuhi katika GMT,then TZ inakua ni saa 8 mchana;kama ni saa 10 jioni katika GMT hours,then TZ ni saa 1 usiku. I hope umeelewa.

Shukrani, kwa hiyo 1600GMT + 3 = 1900 EAT ambao ndio muda wa fainali?
 
Good luck gooners


Don't you mean 'good luck the gunners'? Unless it is satirism at work! Coz gooners is related to goons! And I am not sure if Arsenal die-hards will tolerate you if they come to know what gooners and goons mean!
 
hiki kikombe cha mbuzi kitai-busti sana asenali iweze kuinyang'anya ubingwa barcelona na kuing'oa man u kileleni!
 
1519: BREAKING ARSENAL CARLING CUP FINAL TEAM NEWS
Tomas Rosicky replaces the injured Cesc Fabregas.
 
hiki kikombe cha mbuzi kitai-busti sana asenali iweze kuinyang'anya ubingwa barcelona na kuing'oa man u kileleni!


Hivi kumbe ubingwa wa carling cup unaiongezea timu point za kwenye premiership? Afu kumbe pia kwa kutwaa kombe hilo la mbuzi Arsenal itahamia La Liga na kuwa bingwa pia?

Duh kama ni hivyo kumbe Carling Cup ni zaidi ya UCL.
 
ngoja nijongee samaki samaki nikashuhudie mwanzo wa gunner's quadruple: carlington, fa, epl, ucl!
 
Arsenal v Birmingham line-ups
Arsenal: Szczesny, Sagna, Djourou, Koscielny, Clichy, Rosicky, Song, Nasri, Wilshere, Arshavin, van Persie. Subs: Almunia, Denilson, Squillaci, Eboue, Gibbs, Chamakh, Bendtner.
Birmingham: Foster, Carr, Johnson, Jiranek, Ridgewell, Fahey, Gardner, Ferguson, Bowyer, Larsson, Zigic. Subs: Taylor, Murphy, Phillips, Jerome, Martins, Parnaby, Beausejour.
Referee: Mike Dean (Wirral)
 
Hivi kumbe ubingwa wa carling cup unaiongezea timu point za kwenye premiership? Afu kumbe pia kwa kutwaa kombe hilo la mbuzi Arsenal itahamia La Liga na kuwa bingwa pia?

Duh kama ni hivyo kumbe Carling Cup ni zaidi ya UCL.

kazungumzia kuwapa wachezaji nguvu , kama umeamua ku-twist maneno kishabiki ime work out.
 
Back
Top Bottom