Natanguliza salam kwa kila member.
Hii thread itahusisha carriers ambazo zina soko la ajira hapa Tanzania pia watu ambao wapo katika hiyo field ni wachache na wanahitajika kwa miaka ya sasa pia kwa future ya Tanzania kiuchumi.
Hii thread itasaidia kwa wanafunzi wanaotaka kuanza degree vyuo
Hii thread itahusisha carriers ambazo zina soko la ajira hapa Tanzania pia watu ambao wapo katika hiyo field ni wachache na wanahitajika kwa miaka ya sasa pia kwa future ya Tanzania kiuchumi.
Hii thread itasaidia kwa wanafunzi wanaotaka kuanza degree vyuo