Ehh Tabby kulikoni tena mkuu, ebu jaribu kututoa tongotongo kiongozi wangu. Ninavyofahamu hawa watu kupata kazi ni mpaka uwe mkiristu tena mprotestant. Halafu referee lazima awe mtu anayejishughulisha na mambo ya kanisa.
Sasa hii ni mpya tena.
Ni kweli kiongozi. Huo ndio mlango wa kuingilia sebuleni. Sasa ingia ndani uone mambo!. Tena mbona mambo yao yako dhahiri sana? Sishauri mtu aache kazi yake sehemu eti kapata kazi worldvision tanzania!. Atajuta.