E E52 Member Oct 31, 2010 81 14 May 21, 2012 #1 vp wadau kuna tetesi kwamba care international hawajaita watu interview bado kwenye zile nafasi za tabora.........nauliza kama ni kweli au walishaita
vp wadau kuna tetesi kwamba care international hawajaita watu interview bado kwenye zile nafasi za tabora.........nauliza kama ni kweli au walishaita
shegaboy JF-Expert Member Apr 11, 2011 213 34 May 21, 2012 #2 tayari na watu wanafanya kazi tayari ndugu yangu
Mau Senior Member Apr 8, 2009 176 10 May 21, 2012 #3 nawaona mjini hapa wiki ya pili hii, washaanza kazi kitambo
F fatakifataki Senior Member Nov 2, 2009 134 60 May 22, 2012 #4 care ni miongoni mwa organization zenye mambo ya kamlete....achana nao acha waendelee kuharibu image yao tu siku zao zinakaribia
care ni miongoni mwa organization zenye mambo ya kamlete....achana nao acha waendelee kuharibu image yao tu siku zao zinakaribia