Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,808 59,317 Mar 10, 2012 #2 Nyie ndio nawaonaga mko kwenye magari yenu, full kiyoyozi ila mmenuna kama nini sijui. Acha na wenzio wapate pesa ya kula.
Nyie ndio nawaonaga mko kwenye magari yenu, full kiyoyozi ila mmenuna kama nini sijui. Acha na wenzio wapate pesa ya kula.
K kiparah JF-Expert Member Sep 7, 2010 1,173 114 Mar 10, 2012 #5 Ni ktu ya kawaida sana hiyo duniani, pitia pale Brazil, Colombia, Venezuela na hata Bolivia!
Kang JF-Expert Member Jun 24, 2008 5,495 2,251 Mar 10, 2012 #6 Husninyo said: Wengi hawasafishi wanachafua. Click to expand... Point sio kusafisha, point ni umpe hela asiguse gari lako.
Husninyo said: Wengi hawasafishi wanachafua. Click to expand... Point sio kusafisha, point ni umpe hela asiguse gari lako.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,937 Mar 10, 2012 #7 wengine wanakua chuma ulete...ile 200 unayompa inakomb kila kitu kwa wallet
Meritta JF-Expert Member Apr 26, 2011 1,303 292 Mar 10, 2012 #8 shida yao wale ni ela tu ila kwa usafi wala hawasafish maana maji yao ni machafu looh
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,162 Mar 10, 2012 #9 sipendi kweli hii tabia....wengine wanalazimishia kabisa....
B Bakyaitaki Member Apr 6, 2012 65 44 Sep 19, 2012 #10 Mimi imenikera siku hizi natembea na bisibisi, nikimwonyesha anaacha maana anajua nitamuumiza