Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kapteni mmoja wa ndege MSTAAFU aliekuwa akiendesha shirika moja la ndege la taifa tanzania hivi majuzi wiki mbili zilizopita yamemkuta yaliomkuta MC LEMA pale Gongo la mboto..na hili nimeweka kwenu ninnyi mlio na watoto nje mnaochezea pesa zetu na malaya tukiwatumia huko Bongo
Katika kupigiwa simu mzee na mwanae alie marekani mzee wetu aliekea west union kuchukua doller zake 2000 baada ya kuchukua akachench baadhi pale posta zilizobakia akapigia mizigo yake na kwenda kulala nayo guest house pale gongolamboto..katika kuonyesha mzee alikuwa kidume mwanamke wa tatu ndie aliemfia kwa siku hiyo ilikuwaje
Mhusika wa guest house anasema mzee aliingia na kifaa kimoja akakichapoa akaanza akaja mwanamke wa pili akaenda nae mpaka kumi mchana akaaga tukaashangaa akaja mwingine anaulizia chumba hiocho hicho huyu akaamua kuondoka na uhai wa mzee wetu ..alikuwa mteja wetu mzuri sana hata akiishiwa tuna uhakika wa kulipwa alisema kijana anaelinda guest...
Polen sana wanafamilia poleni na yaliowakuta mama mjane usiwaze sana MUNGU ndie anaepanga aujui mateso alieokuwa akikupa ..kama ombo tu jamani..ninyi wazazi watoto wenu uku atuuzi uchi kusema biashara ya kudumu tunabeba ma box siku ayapo tunalala nyumbani kwa heshima na taadhima tunaomba muheshimu pesa tunazowatumia...kwa bahati mbya yule binti aliondoka bila kusema lolote na hivyo akuna aliejua mpaka ilipofika saa tatu maana jamaa wa guest walitaraji mwinigne anakuja ..kupiga hodi ola ..mmh wakaamua kuvunja na kukuta mzee hata hela ya kulipia guest hana mwanamke amemsalula kila kitu..mbaya zaidi akamwekea risiti yake ya bureau kwenye kifua..nanyie makahaba embu mkituulia baba zetu hata kama mko mbali wapigien hata polisi mbona line ziko mbali ama mpaka waanze kunuka wakati wamewasitiri kwenye kitanda...muwe na ustaarabu ati .......
maziko yamefanyika wiki iliopita
BWANA AMETOA BWANA AMETWAA .....
Katika kupigiwa simu mzee na mwanae alie marekani mzee wetu aliekea west union kuchukua doller zake 2000 baada ya kuchukua akachench baadhi pale posta zilizobakia akapigia mizigo yake na kwenda kulala nayo guest house pale gongolamboto..katika kuonyesha mzee alikuwa kidume mwanamke wa tatu ndie aliemfia kwa siku hiyo ilikuwaje
Mhusika wa guest house anasema mzee aliingia na kifaa kimoja akakichapoa akaanza akaja mwanamke wa pili akaenda nae mpaka kumi mchana akaaga tukaashangaa akaja mwingine anaulizia chumba hiocho hicho huyu akaamua kuondoka na uhai wa mzee wetu ..alikuwa mteja wetu mzuri sana hata akiishiwa tuna uhakika wa kulipwa alisema kijana anaelinda guest...
Polen sana wanafamilia poleni na yaliowakuta mama mjane usiwaze sana MUNGU ndie anaepanga aujui mateso alieokuwa akikupa ..kama ombo tu jamani..ninyi wazazi watoto wenu uku atuuzi uchi kusema biashara ya kudumu tunabeba ma box siku ayapo tunalala nyumbani kwa heshima na taadhima tunaomba muheshimu pesa tunazowatumia...kwa bahati mbya yule binti aliondoka bila kusema lolote na hivyo akuna aliejua mpaka ilipofika saa tatu maana jamaa wa guest walitaraji mwinigne anakuja ..kupiga hodi ola ..mmh wakaamua kuvunja na kukuta mzee hata hela ya kulipia guest hana mwanamke amemsalula kila kitu..mbaya zaidi akamwekea risiti yake ya bureau kwenye kifua..nanyie makahaba embu mkituulia baba zetu hata kama mko mbali wapigien hata polisi mbona line ziko mbali ama mpaka waanze kunuka wakati wamewasitiri kwenye kitanda...muwe na ustaarabu ati .......
maziko yamefanyika wiki iliopita
BWANA AMETOA BWANA AMETWAA .....