TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
Hii ni Camera ya kazi inawafaa wale wenyekushughulika na uandishi wa habari au wenye kushughulika na mambo ya shooting movies n.k.Ni Camera nzuri sana na imetumika lakini ipo katika hali nzuri lakini ina tatizo moja dogo la firewire lakini linatengezeka sana MODEL yake DM-XL1E utapata mambo mengi zaidi.Bei yake ni shs milioni 1.4 wasiliana na Habibu 0717810318