Asprin tafadhani sana yaani unataka ufanyie majaribio kwenye macho yangu! Khaa! Hata kama you want to try something new, duh! sio kwa macho yangu. Btw, I'm not "Mwajuma" mkuu. That mwaJ is more than a mere name. Si unaona inavyoandikwa?Niko hapa da Mwajuma mwaJ. Vipimo bure, dawa/miwani utalipia........ si unajua: "Anyone who has never made a mistake has never tried anything new" - ??
Dotworld sitaki hata kujisumbua, huyo wa kwenye picha ya kwanza nimemuona baada ya MziziMkavu kumchorea kiduara. Humo kwenye makorokoro si ndio nitayaua kabisa macho yangu kwa kukodolea monitor siku nzima!mwaJ angalia vizuri - jaribu mbona wapo tu wanaonekana vizuri - keep on trying!
Ndugu yangu Dotworld, haya macho yangu bila msaada wa bia huwa hayaonagi wanyama hai. Ngoja nikitoka kwa mkoloni jioni ntaitumbulia macho tena hii picha wakati namimina Tusker Malt kwa koromeo.Mkuu Asprin vipi na wewe umemuona Paka katika hizo picha au na wewe unajiunga na MwaJ kwenda kwenye vipimo?
JF raha tupu, kuanzia post #22ikiwemo na hii yangu, uchakuaji thread kwenda mbele. Mara nyingi hapa ukiangalia mada inavyanza na inakomalizia, utashangaa.
Paka yupo hapo penye duara jeusi kushpto ya picha.
View attachment 56686