birungi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 391
- 16
jobless hapana
hatoweza kunisaidia kifikra na kimawazo maana atakua na fikra mgando.
basi tu ajishughulishe na viujasiliamali vyovyote.
another side awe jobless lakini naelimu ya kutosha,ntamwangaikia apate ajira hata kama miaka itasogea, mana najua elimu anayo.
hatoweza kunisaidia kifikra na kimawazo maana atakua na fikra mgando.
basi tu ajishughulishe na viujasiliamali vyovyote.
another side awe jobless lakini naelimu ya kutosha,ntamwangaikia apate ajira hata kama miaka itasogea, mana najua elimu anayo.