z it rlly possible for x- lovers to be friends, hang out, help each with work staff and so forth, can they?
inawezekana kama hamkuachana vibaya....na pia itategemea mko katika hali ipi ili isiweze kuleta tatizo katika uhusiano mpya utakaokuwa nao.....ila watu wengi hawapendi kuwaona wapenzi wao wakiwa na mawasiliano mazuri na maex wao
Hili swali nimeliona zaidi ya mara 1000. Watu wanatafuta nini huko kwa Ex wao? Kwani wanataka urafiki wa nini wakati waliachana? Yaani mpaka kufikia mahali pa kutaka eti ku-hang out, why? Kwani marafiki wengine hawapo?
Mim ningeshauri watu watumie muda wao, akili zao na resources kuimariasha mahusiano yao ya sasa badala ya kushughulia euphoria za mahusiano yaliyopita!
unajua kuna watu wengine wanaingia kwenye mahusiano mapya kwa ajili ya kulipiza kisasi wakati bado wanapenda kule walikotoka, kinachotokea ni kwamba pale anapomuona huyo ex na mtu mwingine roho inamuuma so anataka kuweka barrier kwa kisingizio cha best friend
i agree with dark city bt what can one do when the other one keeps on insisting that we should be friends alafu yeye ndo alimdump mwenzake aimake sense at all
ndeukoya, that is how really and true love should be. Watu wenye mapenzi ya kweli hudumu milele. True Love lives forever. Tatizo wepenzi wengi huingia kwenye mapenzi kwa tamaa tuu za kimwili, (infatuation) au convenience, pesa, good life or just for security lakini sio true love.z it rlly possible for x- lovers to be friends, hang out, help each with work staff and so forth, can they?
inategemea mliachana vipi? Binafsi mpenzi wangu nilimpenda sana lakini aliniacha kwa mbwembwe zote. Baadae akaja kuniona niko poa mambo yamekubali sasa simu kila mara na yuko tied. Mimi namzeveza tu. Kila akiomba tutoke nakubali ikifika siku napotezea tu. Sijui kwanini hachoki. lol!!
]Hao naona watakuwa hawana msimamo. Unapoingia kwenye mahusiano unatakiwa kujali siyo feelings zako tu, bali na za huyo mpenzi wako wa sasa. Kama mtu yuko makini basi ataambatana na mpenzi wa sasa na kukubalia kumpoteza yule wa zamani. Huwezi kuwa na watu wawili kwa wakati mmoja ukawa salama na ukawatendea haki. Best way ni kumtendea mwenzio yake ambayo wewe mwenye ungependa na kutamani kutendewa. Ubinafsi na tamaa ndo vinasababisha watu kutowafikiria wenzao kwenye mahusiano na kuanza kutanga tanga. Ukiwa na Ex zaidi ya mmoja utafanyaje?[/I]
Kwani aki-insist anakushikia mtutu? Mwisho wa siku mwenyewe ndiye utaamua kama unataka kucheza pata potea kwa kuvinjari nao wote au kuwa muungwana na kukaa na mmoja tu.
Acha ung'ang'nizi bwana, ex wa nini kaka alikudump enzi hizo atakupenda tena? watu tuwe na misimamo ya kiiukweli, hivi huyo aliyekukana mbele za watu inakujaje awe best friend. Huo urafiki wa kusaidiana kwa nini msingedumisha pendo lenu misaada unayotaka sasa hivi.
EX ni watu wa kukimbia kama ukoma ukimuona kule we geuka tu, ukiruhus aongee mmerudiana. Ila kama ni mzazi mwenzio mna mtoto au watoto basi mnaweza kuwasiliana for the sake of children ila mwenza wako ajue kila kinachoendelea.
z it rlly possible for x- lovers to be friends, hang out, help each with work staff and so forth, can they?