Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Nimefuatilia mwenendo jumla wa mijadala hapa JF kwa siku za karibuni, imeona kama tunarudi nyuma badala ya kusonga mbele!
Siku hizi watu wamekuwa wakivutiwa zaidi na mambo rahisi na udaku. Yaani kwa ujumla asilimia zaidi ya 80 ya wachangiaji hapa JF wanapenda mijadala rahisi rahisi inayojadili watu na matukio tu! (people and events).
Na hii imeshika mizizi zaidi baada ya uchaguzi wa 2010, nadhani ni uchaguzi mkuu wa kwanza katika maisha ya JF.
Tangu hapo mijadala imekuwa ya matukio ya uchaguzi, matukio ya kisiasa, kashfa za kidini na vitu kama hivyo. Je JF kama jamvi la GREAT THINKERS hatuwezi kuwa na mijadala bora zaidi ya hii ambayo hata vijiweni wanaifanya?
Hatuwezi kujadili kwa mfano:
Nadhani hii ingepelekea wasomi wetu ambao naamini wapo humu JF wakatupa michango yao ili taifa linufaike kwa taaluma zao.
Hii ya CDM, CCM, MAGAMBA, UFISADI n.k tunaweza kuijadilli lakini isiwe ndio main theme ya forum hii!
Nawakilisha!
Siku hizi watu wamekuwa wakivutiwa zaidi na mambo rahisi na udaku. Yaani kwa ujumla asilimia zaidi ya 80 ya wachangiaji hapa JF wanapenda mijadala rahisi rahisi inayojadili watu na matukio tu! (people and events).
Na hii imeshika mizizi zaidi baada ya uchaguzi wa 2010, nadhani ni uchaguzi mkuu wa kwanza katika maisha ya JF.
Tangu hapo mijadala imekuwa ya matukio ya uchaguzi, matukio ya kisiasa, kashfa za kidini na vitu kama hivyo. Je JF kama jamvi la GREAT THINKERS hatuwezi kuwa na mijadala bora zaidi ya hii ambayo hata vijiweni wanaifanya?
Hatuwezi kujadili kwa mfano:
- Spiritualism badala ya religion?
- HIV AIDS na impact zake kwa next generation?
- World economic recession?
- Doctrine of waging pre-emptive wars?
- Moral philosophies?
- Socio-economic philosophies?
- Modern science inventions?
Nadhani hii ingepelekea wasomi wetu ambao naamini wapo humu JF wakatupa michango yao ili taifa linufaike kwa taaluma zao.
Hii ya CDM, CCM, MAGAMBA, UFISADI n.k tunaweza kuijadilli lakini isiwe ndio main theme ya forum hii!
Nawakilisha!