Can we be better than this? JF degenerating?

Shinto

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
1,781
96
Nimefuatilia mwenendo jumla wa mijadala hapa JF kwa siku za karibuni, imeona kama tunarudi nyuma badala ya kusonga mbele!
Siku hizi watu wamekuwa wakivutiwa zaidi na mambo rahisi na udaku. Yaani kwa ujumla asilimia zaidi ya 80 ya wachangiaji hapa JF wanapenda mijadala rahisi rahisi inayojadili watu na matukio tu! (people and events).
Na hii imeshika mizizi zaidi baada ya uchaguzi wa 2010, nadhani ni uchaguzi mkuu wa kwanza katika maisha ya JF.
Tangu hapo mijadala imekuwa ya matukio ya uchaguzi, matukio ya kisiasa, kashfa za kidini na vitu kama hivyo. Je JF kama jamvi la GREAT THINKERS hatuwezi kuwa na mijadala bora zaidi ya hii ambayo hata vijiweni wanaifanya?
Hatuwezi kujadili kwa mfano:
  1. Spiritualism badala ya religion?
  2. HIV AIDS na impact zake kwa next generation?
  3. World economic recession?
  4. Doctrine of waging pre-emptive wars?
  5. Moral philosophies?
  6. Socio-economic philosophies?
  7. Modern science inventions?
Na issue kama hizo.
Nadhani hii ingepelekea wasomi wetu ambao naamini wapo humu JF wakatupa michango yao ili taifa linufaike kwa taaluma zao.
Hii ya CDM, CCM, MAGAMBA, UFISADI n.k tunaweza kuijadilli lakini isiwe ndio main theme ya forum hii!
Nawakilisha!
 
Mod rudisha GROAN, na insible avue gamba ili mtu abandika CRAP iondolewe mara moja: naunga mkono hoja.
 
Nimefuatilia mwenendo jumla wa mijadala hapa JF kwa siku za karibuni, imeona kama tunarudi nyuma badala ya kusonga mbele!
Siku hizi watu wamekuwa wakivutiwa zaidi na mambo rahisi na udaku. Yaani kwa ujumla asilimia zaidi ya 80 ya wachangiaji hapa JF wanapenda mijadala rahisi rahisi inayojadili watu na matukio tu! (people and events).
Na hii imeshika mizizi zaidi baada ya uchaguzi wa 2010, nadhani ni uchaguzi mkuu wa kwanza katika maisha ya JF.
Tangu hapo mijadala imekuwa ya matukio ya uchaguzi, matukio ya kisiasa, kashfa za kidini na vitu kama hivyo. Je JF kama jamvi la GREAT THINKERS hatuwezi kuwa na mijadala bora zaidi ya hii ambayo hata vijiweni wanaifanya?

Hatuwezi kujadili kwa mfano:
  1. Spiritualism badala ya religion?
  2. HIV AIDS na impact zake kwa next generation?
  3. World economic recession?
  4. Doctrine of waging pre-emptive wars?
  5. Moral philosophies?
  6. Socio-economic philosophies?
  7. Modern science inventions?
Na issue kama hizo.
Nadhani hii ingepelekea wasomi wetu ambao naamini wapo humu JF wakatupa michango yao ili taifa linufaike kwa taaluma zao.
Hii ya CDM, CCM, MAGAMBA, UFISADI n.k tunaweza kuijadilli lakini isiwe ndio main theme ya forum hii!
Nawakilisha!

Well said, but nothing comes out of the blue, there must be someone who initiates things with substance and consequently produces corresponding results. Would you mind to be that person, i assure you to be the first one to support you with provocative argument. All the best Jesuit.
 
Unachokiongea ni sawa sasa hapa uhuru wa kutoa maoni nao ndio unaotumega, mtu anaongea chochote anachotaka, mfano mada ikija badala ya kujadiliwa na kupatikana ufumbuzi inaishia kwa matusi na ujinga mwingine kama huo. naomba tubadilike jamani kwenye ukweli uongo hujitenga! Peace!
 
Yeap, kwa case ya spiritualism kwa mfano, mimi nimewahi kuhudhuria tambiko la kuomba mvua la kabila fulani baada ya ukame wa miezi mingi, amini nawaambia kabla tambiko halijaisha vizuri wingu lilitanda mvua ikaanza kunyesha! Je, hapa zilikuwa nguvu zipi? Za shetani kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini? Au ile habari ya kule Ukerewe jiwe linacheza likiimbiwa! Naambiwa mkuu wa mkoa aliona maajabu haya, how do yo explain that?
 
Hiyo habari ya mvua inaweza kuwa coincidence, umeweza kushuhudia repeatedly? I don't believe in the supernatural.
 
Yeap, kwa case ya spiritualism kwa mfano, mimi nimewahi kuhudhuria tambiko la kuomba mvua la kabila fulani baada ya ukame wa miezi mingi, amini nawaambia kabla tambiko halijaisha vizuri wingu lilitanda mvua ikaanza kunyesha! Je, hapa zilikuwa nguvu zipi? Za shetani kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini? Au ile habari ya kule Ukerewe jiwe linacheza likiimbiwa! Naambiwa mkuu wa mkoa aliona maajabu haya, how do yo explain that?

Might be coincidence
 
Nimefuatilia mwenendo jumla wa mijadala hapa JF kwa siku cf za karibuni, imeona kama tunarudi nyuma badala ya kusonga mbele!
Siku hizi watu wamekuwa wakivutiwa zaidi na mambo rahisi na udaku. Yaani kwa ujumla asilimia zaidi ya 80 ya wachangiaji hapa JF wanapenda mijadala rahisi rahisi inayojadili watu na matukio tu! (people and events).
Na hii imeshika mizizi zaidi baada ya uchaguzi wa 2010, nadhani ni uchaguzi mkuu wa kwanza katika maisha ya JF.
Tangu hapo mijadala imekuwa ya matukio ya uchaguzi, matukio ya kisiasa, kashfa za kidini na vitu kama hivyo. Je JF kama jamvi la GREAT THINKERS hatuwezi kuwa na mijadala bora zaidi ya hii ambayo hata vijiweni wanaifanya?
Hatuwezi kujadili kwa mfano:
  1. Spiritualism badala ya religion?
  2. HIV AIDS na impact zake kwa next generation?
  3. World economic recession?
  4. Doctrine of waging pre-emptive wars?
  5. Moral philosophies?
  6. Socio-economic philosophies?
  7. Modern science inventions?
Na issue kama hizo.
Nadhani hii ingepelekea wasomi wetu ambao naamini wapo humu JF wakatupa michango yao ili taifa linufaike kwa taaluma zao.
Hii ya CDM, CCM, MAGAMBA, UFISADI n.k tunaweza kuijadilli lakini isiwe ndio main theme ya forum hii!
Nawakilisha!
this is wonderful idea
 
Back
Top Bottom