Can this WORK?????

Nimekutana na mkaka online JF, tukaflirt sana PM huku tukipeana fake info about each other kwa muda kama wa miezi 8 hivi.
Alinidanganya ameoa nami nikamdanganya kuwa nimeolewa. alinidanganya ameajiriwa kumbe kajiajiri nami nikamdanganya kuwa nina kazi tofauti na ninayo ifanya, kifupi ilikuwa full usanii and we enjoyed it.

Recently, 3 weeks ago, we decided to meet in person, and have fun (sex included; najua kuhusu morals, so sihitaji ushauri kwenye hiyo angle); we had real good tym by real l mean real, (at least on my side) and l think l am starting to fall in love. He also says he feel the same way. Tuliongea mengi, including kuendeleza this relationship from casual thing to uhusiano wa boyfriend girlfriend; sasa swali langu can this real work?

Napata mashaka kwa sababu hizi hapa chini.
1. Tunakaa mbali mbali
2. Najua he is a flirt kama mimi nilivyo
3. Napenda vibaya na ndiyo maana najizuia kupenda

Labda kuna watu humu wamekuwa na similar cases, pls nishaurini/tushaurini.

This is from a friend, anaogopa akiileta mwenyewe people might starting guessing!

Hehehehehe :):) Sioni kwanini msiendelee na mapenzi yenu. Hata mapenzi yaliyoanzia online huweza kushamiri. Kumbe nawe huwezi kupenda 50/50 eeh! :):). Kila la heri :):)

 
Last edited by a moderator:
Hehehehehe :):) Sioni kwanini msiendelee na mapenzi yenu. Hata mapenzi yaliyoanzia online huweza kushamiri. Kumbe nawe huwezi kupenda 50/50 eeh! :):). Kila la heri :):)



Thanks, my friend ameupokea ushauri wenu and she is taking slowly and prays that it WORKS.
Thanks for that beautiful song, l am enjoying it right now!
 
Last edited by a moderator:
on the internet no one knows that you are a dog.
you can kip on with your friendship so long your status is known to your fellow.
but how to kip your tail standing is up to u and him.
 
Back
Top Bottom