M mstahiki JF-Expert Member Jul 14, 2007 308 5 Mar 2, 2010 #1 Meaning...kama kuna matatizo kwenye any elections....kurudia rudia elections?kwa sababu uchaguzi unaghalimu fedha nyingi?
Meaning...kama kuna matatizo kwenye any elections....kurudia rudia elections?kwa sababu uchaguzi unaghalimu fedha nyingi?
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,265 105,436 Mar 2, 2010 #2 ukishakubali kwamba uchaguzi ni muhimu, then by-eletions are priceless. Kama unaona kurudia rudia chaguzi ni gharama, basi ondoa chaguzi zote kabisa.
ukishakubali kwamba uchaguzi ni muhimu, then by-eletions are priceless. Kama unaona kurudia rudia chaguzi ni gharama, basi ondoa chaguzi zote kabisa.
annamaria Senior Member Apr 1, 2009 135 15 Mar 3, 2010 #3 Achaneni na hiyo representative democracy,fanyeni athenian democracy ya kina Plato!!
Waberoya Platinum Member Aug 3, 2008 15,169 10,785 Mar 3, 2010 #4 annamaria said: Achaneni na hiyo representative democracy,fanyeni athenian democracy ya kina Plato!! Click to expand... Kweli dada ziko nyingi tu tunaweza ku-practise, lakini nani wa kutupeleka huko? Tunadesa kila kitu, yaani system zetu za siasa zisipokuwa sawa na 'western au eastern' basi ni kama vile hatuishi duniani.
annamaria said: Achaneni na hiyo representative democracy,fanyeni athenian democracy ya kina Plato!! Click to expand... Kweli dada ziko nyingi tu tunaweza ku-practise, lakini nani wa kutupeleka huko? Tunadesa kila kitu, yaani system zetu za siasa zisipokuwa sawa na 'western au eastern' basi ni kama vile hatuishi duniani.