Lazima maandamano yafanyike na hii iwe kwa pamoja kwa waanamageuzi wote Chadema Cuf na iwe nchi nzima tena sasa ili kuzuia huyu Jakaya na uropokaji wake nchi hii sio mali ya mama yake wala familia yake hawezi kutisha wananchi wakati akijua kwamba yeye ni amri jeshi mkuu kwa nafasi yake ya uraisi,KIKWETE ni mchochezi wa vita periodhata wangefanyaje mwaka huu JK kushinda ni ndoto..kaanza kuropoka huko songea eti oooh nchi itamwaga damu..hahaaaaa ..zoea tu mbona hata Moi ,Kaunda ilikuwa hivo hivo.utazoea tu mambo ya kufanya yapo mengi mbona hata kuimba unaweza kipaji unacho mzee